Selfika na JF: Snap it. Show it

Kabisa plus juzikati nilisukaga weaving likanikata nywele mbele then alienifumua akazikata kama zote sasa dawa naona ndio inataka kuzinyonyoa ziishe kabisa nianze moja!!

Mfumuaji alikuwa haoni?
Sipendi watu ambao hawajali nywele za wenzao..Imagine mtu anakatakata tu bila kuangalia.

Ni heri mtu akatae kunifumua kuliko anifumue kwa kunikata.
 
Weeee anawasaidia Wapi mtu ukae tu kumtegemea mwanaume unabweteka tu ndio dharau nananyanyaso yanaenda anzia hapo!! Japo sio kwanza wote ila hio mbaya sana asee!
Hajasema ubweteke
Amesema source ya kwanza ya mapato ni wanaume
Nyingine ni ziada.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…