Selfika na JF: Snap it. Show it

Baby wangu sio mambo yake hayooo kabisaaaa
Sema wewe ndio mlishindwana na bichwa
kasema wewe libayaaaaaa na mkitambi wakoooo
Aiseee๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ, I like the way I am๐Ÿค—.
๐Ÿ‘‰Vipi wewe mwenye komwe Kama bati jipya๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚
 
Huyo hajui utani, anapenda kumfanya mtu aonekane wa hovyo ana masifa ya kijinga

Utani wake anavuka line ya utani
Mimi wala sina shida nae dia niko poa
Kumbe Ume maindi๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ, mi na change Kama mashairi ya w. Shakespeare ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ