Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,571
- 235,411
Halafu mtoto akidondoka si atamwaga ubongo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo kinapendeza.
Ata hivo mbona ni ndefu kabisaHapana
Sina mpango
Napambana na kipilipili changu
Japo naona hazikui
Sizihudumii vizuri[emoji19]View attachment 2656262
Poa kabisa huku hofu kwako tuNamba E ndiyooooo, Salama lakini?
TufupiH
Ata hivo mbona ni ndefu kabisa
Shkamoo BossFumbeni macho nipite
Yaani wewe Minguni lazima uendeMselfike
HaleluyahβΊοΈShkamoo Boss
Tajiri mwenzangu wa roho,mteule mwenzangu katika safari ya Mbinguni [emoji7]
Bado hujajibu shkamoo yanguπππHaleluyahβΊοΈ
Amina mtumishiππYaani wewe Minguni lazima uende
Huna mpinzani.
Uzuri tutakuwa wote.
Asante sana Boss.
Ngoja waje kumalizia tigo na halotel.
Marahaba mama JuniorBado hujajibu shkamoo yanguπππ
Nikimpa mtu shkamoo,huwa napenda ajibu Marahaba hujambo?
Huyo Wige amevuruga mkeka hapo[emoji23][emoji23][emoji23]Marahaba mama Junior
Mdogo wangu wa ukweli
Nkamu wangu
Rafiki yake Wigelekelo
Shabiki mkubwa wa Liverpool
Bila shaka uko salama
Umependeza sanaπππ₯π₯π₯π₯ππ
Saint Anne nimevaa wigi πππ
Nimekuwa kama asha ππngedereView attachment 2656310
Yaani nikikusa Mbinguni ntaandamanaTuendelee kuselfika
ITakuwa Nina pacha aisee kunarafikiyangu kanitumia picha ya dada mmoja hiv copyright nna mm sura yangu kamayake yaani πUmependeza sanaπππ₯π₯π₯π₯
Eti Asha Ngedersππ
Nimecheka .
Kuna dada unafanana naye sana
Ngoja nikutafutie picha yake nikuonyeshe