Selfika na JF: Snap it. Show it

Ahahahahah jf wanatakowa tuwe tunajiunga na namba za nida ili kipengele cha jinsia kiwe automatically
Nyie madogo bhana, umefikiria dating tu.
πŸ‘‰Vipi kuhusu usiri, watu wakitoa taarifa nyeti??
πŸ‘‰Kuna baadhi hawapendi kutambulika, ili kuwa na Uhuru wa kujumuika na wengine. Eg viongozi, wafanya biashara.
 
"Huku wapo wazungu tu"

Mwisho wa kunuuu ila nimeipenda hii santrooo sanaaa!😊
Hukuti watu huku wanafwatiliana huku no uswahili uko kwingine wanapost miguu ya kuku na sungula uku watu wanatupia picha wakiwa kwenye kazi mtu kama huna kazi upo humu utataafuta kazi kwa nguvu tu 🀣
 
Nyie madogo bhana, umefikiria dating tu.
πŸ‘‰Vipi kuhusu usiri, watu wakitoa taarifa nyeti??
πŸ‘‰Kuna baadhi hawapendi kutambulika, ili kuwa na Uhuru wa kujumuika na wengine. Eg viongozi, wafanya biashara.
Jina like fake ila mfano kama wewe unataarifa gani ya nyeti ya kutishia usalam wa taifa πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…