Najiandaa kuwa CTO au Director wa kitengo flani hapo mbeleni.. naangalia sifa za jamaa na mahala walimo pita na vitu walivyosoma.. na mie napita mule mule.. maana no vyema ulajifunza kwa walio toboa na kufika unapotaka kufika
Mii kenge tena..... ππππππ
Weee Intelligent businessman una nini wewe mbona upo hivo....
Umebadilika sana ππππ Analyse ebuu tukae na kijana huyu apate ushauri
Mii kenge tena..... ππππππ
Weee Intelligent businessman una nini wewe mbona upo hivo....
Umebadilika sana ππππ Analyse ebuu tukae na kijana huyu apate ushauri