Selfika na JF: Snap it. Show it

Ahahahhahah be care lakini be care sanaaaa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mana nilijaribu kukutetea nikaishia kupata maneno mazito πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
"Kudambukaaa" 🀣🀣🀣🀣🀣🀣
coca mbavoooo zangooooo hukuuu pullliiizzzzzzzzzzzzzzzπŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚
Nacheka hadi nataka kujikojolea hapa ujuee🀣🀭🀭🀭
 
Hamna chuki mpendwaπŸ™πŸ™, Jamaa ana fanya utani tuπŸ™πŸ™πŸ™
 
Hiv kunawatu kabisa wanatafuta undani wa mtu kweli Kwan kilamtu anatumia chake ugomvi wa nn[emoji3][emoji3][emoji125][emoji125]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu wamevurugwaaa na coca shangaziiiii, hawanywi maji yakakata kiu, hawali wakashibaaa kisa coca.

Kilaa waionapo hii ID wanapatwa na dege dege LA ukubwaniiiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Degedege la ukubwani bwahahahaha🀭🀭🀣
 
"Kudambukaaa" 🀣🀣🀣🀣🀣🀣
coca mbavoooo zangooooo hukuuu pullliiizzzzzzzzzzzzzzzπŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚
Nacheka hadi nataka kujikojolea hapa ujuee🀣🀭🀭🀭
Alikuwa ana Tania tuπŸ™πŸ™πŸ™, hamna chuki
 
Mungu hakutaka migogoro akampa kilamtu Mali yake awe na yake Yani mm yangu ni yangu Mwenyewee naitumia nipendavyo Sijapenda [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Shangaziiii umechachukaaa vibayaa mnooooo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo Dar ishakushandua kiasi hikii.
 
Maisha mafupi mno kuwaza mambo ya mtu mwingine kiukweli tuishi tu mm mtu unawaza utapataje Hela kumbe kunamtu anakuwaza umenyanduliwa vingapi usiku ulopita mvurugano kabisa aisee πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Tuishi tu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nyiee mnaniuaa mbavuuu memeeee hukuu mjueeee!! 🀣🀣🀭🀭🀭🀭🀭!!
Walai mmenishinda tabiaaaa mnataka kuniua kwa kichekooo walahiiiiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚!!

Mie nyani mzeee humuuu kuna vitu humu naangalia na kujichekea ka fwalaaa fulani tyyu nhiiiiiiiinhiiii😁😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…