wananitafuta wapiii?? Mtaani au hapaa kwa keyboard? Waambie waanze hata sahivi maana km wanasubiri niingie ktk 18 zao, km wamesimama bas watandike jamvi wakaee.
Sasa mie wa kuniogopeshaa hao watu? Vilikua vikundii na vilishindwaa, watu walipambana na mie na nkawashinda hadi kuomba niondolewee JF, POLL iliwekwaa nkaondolewa kwa muda na nkarudishwaaa,
Kwa JF hii badoo sanaa wa kunitafuta etii niingie kwenye 18 zakee? Naweza kuingia na hakuna kitu atafanyaaa.
Wapeee salamuu, Coca bado yupooo sanaaaaaa.