Kuna certification ukiwa nazo hupati shidaa ankol.. hata kama utaanzia nafasi za chini chap utapandaa.. kikubwa upate gape . pitia technology za Huawei, Junipy, Nokia Siemens Oracle .. utapata mwanga.. kuna demu mmoja nilikuwa nafanya nae kazi kwenye mtandao mmoja hivi.. alikuwa na maisha kinomaaa badae aliondoka akaenda zake ma mbelee ,