Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 46,407
- 102,441
Bongo hela IPO kinyama, Ni kusumbua Akili jinsi gani unazipata.Bongoo pazuri banaa.. ukiwa na helaaa huko nje unaenda kutumbua bataaa ... hela bado ipo nyingi sana humu ndanii.. angalia sector ya bank au telecom au mining ule maisha
Na nisikuone kitaaa.. maweee yatakuhusuu yanii nafungulia na bull dog wetu umalizane nae π π π πGraciaa papi, wish yah all da bestπππ€¨
Mie hata ufanyaje hunipeleki nje ya nchi labda kama kwenda kula bata tuBongo hela IPO kinyama, Ni kusumbua Akili jinsi gani unazipata.
πKuna msemo unasema hela zipo kwa watu, fikiri jinsi ya kuzichukua cocastic
HiyohiyoParachute hii ya Nazi, iko kwenye kopo.ka gallon ka blue'?? Harufu yake unaiweza?? Mie imenishindaa
Urembo kipaji[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jomoneee dada we nae,
Makubwaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ndiyo nashangaa sasa π
Nimeji ambia asubui, no longer dealing with love, till my washing powder company is establishedNasemaaaajeeeeee nasemajee...
Wee jitekenye na kucheka mwenyewe
Kiukweli napenda kuishi mambelee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bongoo pazuri banaa.. ukiwa na helaaa huko nje unaenda kutumbua bataaa ... hela bado ipo nyingi sana humu ndanii.. angalia sector ya bank au telecom au mining ule maisha
Tatizo lingnee ankolii hizi kazi unatakiwa nawe uwe na faranga za kutoa ili upate. Hapo mtihanii.
Nakaziaaaaaaaaaaaaaaa π£π£ππ!Na nisikuone kitaaa.. maweee yatakuhusuu yanii nafungulia na bull dog wetu umalizane nae π π π π
mambele pazuri, ila maisha yapo bongoi π πKiukweli napenda kuishi mambelee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
kwanza hatutaki mchezo na yeye π«€π«€π«€.. asitusogelea kwanzaaNakaziaaaaaaaaaaaaaaa π£π£ππ!
lazima tumpasueeee asitutanieeer!
Ndo maana akee, yaan kwenye hizi upenyo ni kutafuta ways ya kusepea mbeleee, yaan daaah bas tyuuh labda nisinyanyukie mbelee. Nikitua tyuuh huko shaaa. Imeishaaa hiyooo.Kuna certification ukiwa nazo hupati shidaa ankol.. hata kama utaanzia nafasi za chini chap utapandaa.. kikubwa upate gape . pitia technology za Huawei, Junipy, Nokia Siemens Oracle .. utapata mwanga.. kuna demu mmoja nilikuwa nafanya nae kazi kwenye mtandao mmoja hivi.. alikuwa na maisha kinomaaa badae aliondoka akaenda zake ma mbelee ,[emoji28][emoji28]
π π π π π Mie hapa bongo hunitoi hata kwa craneNdo maana akee, yaan kwenye hizi upenyo ni kutafuta ways ya kusepea mbeleee, yaan daaah bas tyuuh labda nisinyanyukie mbelee. Nikitua tyuuh huko shaaa. Imeishaaa hiyooo.
Nyie ndo mnabakaga kabisa mfyuuu!!Nimeji ambia asubui, no longer dealing with love, till my washing powder company is established
nafurahi kukuona Palina . Habari ya weekend πHi mkuu, Hbari
Sasa hiyo connection buree tyuuh? Aaah wee thubutuu.Hamna faranga haina nafasi sana lakini ni lazima uwe na connection ya kuweza kuingia pale.
Eendiwoooooooo mjombaaa akae mbareeeee nasieeeee kabesaaaππππ!kwanza hatutaki mchezo na yeye π«€π«€π«€.. asitusogelea kwanzaa