Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 May 31, 2023 #336,721 Mjep said: Morning beautiful Tinsley Click to expand... Shikamoo chief , mmeamkaje huko
National Anthem JF-Expert Member Joined Aug 9, 2022 Posts 19,175 Reaction score 56,203 May 31, 2023 #336,722 Grahams said: Nilifundisha miezi 3 na sikuwahi kutembea na Mwanafunzi kipindi chote hicho. Ukianza hutaacha nakwambia 😅 Click to expand... Wanaoweza kula wanafunzi ni wahuni tu 😅😅.. kama upo na humanity huwezi aisee..
Grahams said: Nilifundisha miezi 3 na sikuwahi kutembea na Mwanafunzi kipindi chote hicho. Ukianza hutaacha nakwambia 😅 Click to expand... Wanaoweza kula wanafunzi ni wahuni tu 😅😅.. kama upo na humanity huwezi aisee..
National Anthem JF-Expert Member Joined Aug 9, 2022 Posts 19,175 Reaction score 56,203 May 31, 2023 #336,723 Uvivu ni adui mkubwa, wa ujenzi wa taifa kwani ndio kiini hasa, kisababishacho njaa Ewe ndugu yangu wee, amka kumekucha, kamata jembe na panga twende shambaa Ata wewe mwanangu, amka kumekucha, kwani hizi ndio za kwenda shule Your browser is not able to play this audio.
Uvivu ni adui mkubwa, wa ujenzi wa taifa kwani ndio kiini hasa, kisababishacho njaa Ewe ndugu yangu wee, amka kumekucha, kamata jembe na panga twende shambaa Ata wewe mwanangu, amka kumekucha, kwani hizi ndio za kwenda shule Your browser is not able to play this audio.
M Mjep JF-Expert Member Joined Oct 28, 2014 Posts 11,721 Reaction score 34,880 May 31, 2023 #336,724 Tinsley said: Shikamoo chief , mmeamkaje huko Click to expand... Marahaba mdogo wangu mwenye lips za dhahabu Huku tuko poa sana Bila shaka na wewe hapo ulipo uko sawa pia
Tinsley said: Shikamoo chief , mmeamkaje huko Click to expand... Marahaba mdogo wangu mwenye lips za dhahabu Huku tuko poa sana Bila shaka na wewe hapo ulipo uko sawa pia
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 May 31, 2023 #336,725 Mjep said: Marahaba mdogo wangu mwenye lips za dhahabu Huku tuko poa sana Bila shaka na wewe hapo ulipo uko sawa pia Click to expand... Niko poa pia nashukuru Mungu selfika Mkuu
Mjep said: Marahaba mdogo wangu mwenye lips za dhahabu Huku tuko poa sana Bila shaka na wewe hapo ulipo uko sawa pia Click to expand... Niko poa pia nashukuru Mungu selfika Mkuu
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,283 May 31, 2023 #336,726 Ms eyes huyu Dj namkubali na ile miluzi yake inayonogesha amapiano. Ila hiyo location sasa 😏😏
Bwana Fulani JF-Expert Member Joined Mar 25, 2019 Posts 656 Reaction score 3,386 May 31, 2023 #336,727
M Mjep JF-Expert Member Joined Oct 28, 2014 Posts 11,721 Reaction score 34,880 May 31, 2023 #336,728 Mjep said: Tinsley Live bila chenga Click to expand... Tinsley Live bila chenga
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 May 31, 2023 #336,729 Mjep said: Tinsley Live bila chenga Click to expand... eeh iko wapi
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,308 May 31, 2023 #336,730 Intelligent businessman said: Kweli tenaa, fanya hivyo tuishi Click to expand... Anza kwani wee.
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,308 May 31, 2023 #336,731 Tinsley said: Nenda umnunulie pale Mbuyuni Click to expand... Naenda kumnunulia chapuu kwa harakaa.
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,308 May 31, 2023 #336,732 Wajumbe sio watu wazuri Wanakuambia "we ulisikia wapi DARUSO inaongozwa na mwanamke, nani alisema??" Ila wajumbe siwawezii kwa kweli, kwa jinsi Alice alivyokuwa ananadiwaa nilijua mapema tyuuh anatangazwa ubingwa, uwiiiiiiiii Wajumbee hapanaaa
Wajumbe sio watu wazuri Wanakuambia "we ulisikia wapi DARUSO inaongozwa na mwanamke, nani alisema??" Ila wajumbe siwawezii kwa kweli, kwa jinsi Alice alivyokuwa ananadiwaa nilijua mapema tyuuh anatangazwa ubingwa, uwiiiiiiiii Wajumbee hapanaaa
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 May 31, 2023 #336,733 cocastic said: Naenda kumnunulia chapuu kwa harakaa. Click to expand... Elfu hamsini hilo
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 May 31, 2023 #336,734 Mjep Nilikuwa nashangaa huko
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,907 Reaction score 57,709 May 31, 2023 #336,735 National Anthem said: Wanaoweza kula wanafunzi ni wahuni tu 😅😅.. kama upo na humanity huwezi aisee.. Click to expand... Kweli, huwa nahisi ni kama kuwabaka tu. Fikra zangu ni kuwa Mwanafunzi wakike bado ana hajakua kuweza kutambua baya na zuri, ni vyema tuwaache wasome ili kutimiza ndoto zao
National Anthem said: Wanaoweza kula wanafunzi ni wahuni tu 😅😅.. kama upo na humanity huwezi aisee.. Click to expand... Kweli, huwa nahisi ni kama kuwabaka tu. Fikra zangu ni kuwa Mwanafunzi wakike bado ana hajakua kuweza kutambua baya na zuri, ni vyema tuwaache wasome ili kutimiza ndoto zao
M Mjep JF-Expert Member Joined Oct 28, 2014 Posts 11,721 Reaction score 34,880 May 31, 2023 #336,736 Tinsley said: Mjep Nilikuwa nashangaa huko Click to expand... Pole sana Yaani nimepita kama nilivyo
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,907 Reaction score 57,709 May 31, 2023 #336,737 Vita sitaki miye, sumu usinitilie, kiti usinikalie utanitoa roho. Babe sepa usinirudie, ukipenda njoo turudie , Bila pesa nitunukie🎶 Nikubalie kuwa namimi usiwe na mwingine, Nikubalie nami niwe nawewe nisiwe na mwingine 🎶 ===================== Kuna baadhi ya nyimbo zinatukumbusha miaka ile ya Tabora Jazz, UDA Jazz, Sikinde and likes miaka ile ya 72🤪 Hata nikikaa na Wajukuu zangu naweza kusikiliza pasipo kusikia hata tusi moja limeimbwa 🤗 Nikubalie Song by Kassim Mganga Hello Wednesday 🥂
Vita sitaki miye, sumu usinitilie, kiti usinikalie utanitoa roho. Babe sepa usinirudie, ukipenda njoo turudie , Bila pesa nitunukie🎶 Nikubalie kuwa namimi usiwe na mwingine, Nikubalie nami niwe nawewe nisiwe na mwingine 🎶 ===================== Kuna baadhi ya nyimbo zinatukumbusha miaka ile ya Tabora Jazz, UDA Jazz, Sikinde and likes miaka ile ya 72🤪 Hata nikikaa na Wajukuu zangu naweza kusikiliza pasipo kusikia hata tusi moja limeimbwa 🤗 Nikubalie Song by Kassim Mganga Hello Wednesday 🥂
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 May 31, 2023 #336,738 Mjep said: Pole sana Yaani nimepita kama nilivyo Click to expand... asante boss nilikuwa busy
M Mzee wa kupambania JF-Expert Member Joined Aug 14, 2022 Posts 21,770 Reaction score 54,858 May 31, 2023 #336,739 Kumbe Yanga mliwahi kufulia mpaka mkawa hamna hata mia ya kununua jezi. Kwa huruma chama cha mpira Tanzania kikawasitiri kwa kuwaazima jezi za timu ya taifa Cc; Antonnia
Kumbe Yanga mliwahi kufulia mpaka mkawa hamna hata mia ya kununua jezi. Kwa huruma chama cha mpira Tanzania kikawasitiri kwa kuwaazima jezi za timu ya taifa Cc; Antonnia
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,308 May 31, 2023 #336,740 Tinsley said: Elfu hamsini hilo Click to expand... Ntakopa kausha damu, ili G awe na furahaa.