π€£π€£π€£π€£π€£π€π€π€Watu wenyew tupo 2578 unakuta mm wa elf 2 nisipoomba wenzangu wataomba π€£π€£π€£π€£
πππNdo ukweliπ€£π€£π€£π€£π€£π€π€π€
mbavoooo zanguuu hukuuuu Madam ππππππππ€£π€£!!
Foleni kama youtreee Alooooooohh!!!
Hebu nitoke hapaaa walai sitaki kesi za rejareja πΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈ
Usiku mwema wapendwaaaa!!
Sawa mkuu asante kwa kunijulisha hili.
Naomba kuuliza mkuu, kama sina NIDA wala leseni nifanye je?
Hebu Njoo kwa mwalimu soka tuendelee na story kwanzaaa hao mambo yao tuwaachie wenyewe.. Au nasema uongo Nyumbu akee π ??πππNdo ukweli
Nawe pia dear
Kuna nn huko π mbona haya ya kwangu dear au hauamini nduguyako nipo kwenye foleni ππHebu Njoo kwa mwalimu soka tuendelee na story kwanzaaa hao mambo yao tuwaachie wenyewe.. Au nasema uongo Nyumbu akee π ??
Njema kabisa, vipi wewe hukoAsante sana mkuu, habari yako
Nashukuru sana mkuu. Nategeme kujifunza mengi kwako mkuuAchana nao mkuu kwa sababu umejisajili tayari hivyo vingine havihitajiki
Mimi mzima kabisa mkuu.Njema kabisa, vipi wewe huko
Nasubiria kwa hamu
Mie kitu foleni ndio siwezagiiii kabessaaaaa mwenzioo nikiona dalili tu ya jam huyoo !! Yani dalili tyuuu ni sijiulizi mara mbiliπππππ!!Kuna nn huko π mbona haya ya kwangu dear au hauamini nduguyako nipo kwenye foleni ππ
Usinifanyie hivyo wakwetuNdevu zimeonekana πππ
Hiyo hamu iambie iondoke tu isisubiri
Usinifanyie hivyo wakwetu
Foleni zinaua mapema ila si tunakuwa hatujui kipenz ukishtuka ni WA 456Mie kitu foleni ndio siwezagiiii kabessaaaaa mwenzioo nikiona dalili tu ya jam huyoo !! Yani dalili tyuuuπππππ!!
Bora nipambane naharee yangu kwakweli!
Kiswahili unakijua sana eehπAu sijakuelewa unasubiri picha bila imoji kwa hamu. Sasa hapo kwa hamu ndio wapi ??? π
Mdau selfika kwanzaOyaaaa wadau wa huu uzi kuweni Wastaarabu basi . Tuwapokee wageni wapya kwa ustaarabu basi. Mnamchomfanyia Inspire You sio haki kabisaa ππππ
Mie nina mambo yangu kibao yananichanganya akili kwakichwa foleni nazo zinichanganyee aseee haipigo hiooo!Foleni zinaua mapema ila si tunakuwa hatujui kipenz ukishtuka ni WA 456
Mwalimu soka Kuna nn huko dear mbona sijasikiaga hii