Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,769
- 54,903
Asante google ๐Magoli Sitraaaaa assist tratuuu๐บ๐ช๐๐
Finale ataongezaa so kiatu kitramuhuu hakuna kugawana nayule msauzeeee wala neneeee๐ค๐ค
Wanatuonaje sijui wakat huku tunazikimbia๐๐๐Halafu wanahisi ukiyaona madude yao sijui unakuwaje LA sivyo wasingekuwa wanayatuma ๐๐
Iiiiiiiiigggggggweeeeeehhhh ๐๐๐!Chukua hii ya church ๐คฃ๐คฃ
Mnazikimbia za wenzangu na mie tusio na kibunda ๐คฃ๐คฃ๐คฃWanatuonaje sijui wakat huku tunazikimbia๐๐๐
Hehhe huyo dada noma au tunatofautiana ๐๐Kuna manzi mmoja nilikuwa nikishika simu yake kwenye fb alikuwa na urafiki na hao Wahindi daaah! Kumbe alikuwa anaangalia madushe yao ๐ค hata akaunti zake za zamani Wahindi walikuwa hawakosi
๐๐๐๐คณ Nasubiri wengine ๐๐Iiiiiiiiigggggggweeeeeehhhh ๐๐๐!
Umependezaajeeeee mamy... potrabo mmoja matraaatraaaaa sanaaaa ๐๐๐๐!
Wabheja sana
Weeee Mie shabiki kweriiii kweriiii .na leo ofisini wakinisamiliaa siitikiii wala nene nawapa tyu ishara yani simuangaliiiiiiii๐๐๐๐โ๏ธโ๏ธAsante google ๐
Hatuzitaki hata ๐๐Wanatuonaje sijui wakat huku tunazikimbia๐๐๐
Sauwaa kipenzi Ubarikiwe sana ๐!๐๐๐๐คณ Nasubiri wengine ๐๐
Nilikuwa najiulizaga sana sasa huyu na Wahindi na Waarab wapi na wapi na utakuta hao Wahindi sio wa Tanzania. Hatari sana inaonekana wanatumiana labda ๐คHehhe huyo dada noma au tunatofautiana ๐๐
Nilikiona tu mweupe ngozi ya Asia ni kuignore sitaki upuuzi
๐๐Kweli we yanga damuWeeee Mie shabiki kweriiii kweriiii .na leo ofisini wakinisamiliaa siitikiii wala nene nawapa tyu ishara hii ๐โ๏ธโ๏ธ
๐๐๐ tuma wewe unogeshe penziHatuzitaki hata ๐๐
Ila mie hayo kutumiana picha siyawezi ujinga duh , si tuonane tuyamalize . nakaa nipige paja Mara kile .
Yanga damuWeeee Mie shabiki kweriiii kweriiii .na leo ofisini wakinisamiliaa siitikiii wala nene nawapa tyu ishara yani simuangaliiiiiiii๐๐๐๐โ๏ธโ๏ธ
Ulimtumia hela ya chakula? Au unamuuliza tu mtoto wa waturaha sana kusumbua mtu usiku 'bebi umekula??' eti ๐
Mtoto una mdomo mzuri sana wa kukiss hizo soft lips ๐Weeee Mie shabiki kweriiii kweriiii .na leo ofisini wakinisamiliaa siitikiii wala nene nawapa tyu ishara yani simuangaliiiiiiii๐๐๐๐โ๏ธโ๏ธ
Since day one ๐๐๐๐๐๐Kweli we yanga damu
yeye ndo alinisumbua....Ulimtumia hela ya chakula? Au unamuuliza tu mtoto wa watu
Asante kipenzi!Yanga damu
Shingo yetu ss ๐๐ balaa sanaa
Hehe anajiweza aisee , navyogopa kujiunganisha na watu .Nilikuwa najiulizaga sana sasa huyu na Wahindi na Waarab wapi na wapi na utakuta hao Wahindi sio wa Tanzania. Hatari sana inaonekana wanatumiana labda ๐ค
Basi mnatofautiana. Huyo mdada hadi nikishika simu yake insta waasia wapo