Kuna manzi mmoja nilikuwa nikishika simu yake kwenye fb alikuwa na urafiki na hao Wahindi daaah! Kumbe alikuwa anaangalia madushe yao ๐ค hata akaunti zake za zamani Wahindi walikuwa hawakosi
Kuna manzi mmoja nilikuwa nikishika simu yake kwenye fb alikuwa na urafiki na hao Wahindi daaah! Kumbe alikuwa anaangalia madushe yao ๐ค hata akaunti zake za zamani Wahindi walikuwa hawakosi
Nilikuwa najiulizaga sana sasa huyu na Wahindi na Waarab wapi na wapi na utakuta hao Wahindi sio wa Tanzania. Hatari sana inaonekana wanatumiana labda ๐ค
Basi mnatofautiana. Huyo mdada hadi nikishika simu yake insta waasia wapo