Selfika na JF: Snap it. Show it


Wale wa ng'ambo ile wanauliza mmevukaje?

Na ng'ambo hii wanajibu mnashindwaje?

Ulionalo gumu kwa mwingine rahisi...

Ulionalo rahisi kwa mwingine ni gumu...

Kamwe Mapito yanatofautiana......

Tutiane moyo sote maana safari ni moja.

Sababu tunategemeana, tegemeana x3

.......................
Huyu Mjukuu, amefanya leo nilime eneo kubwa hapa shambani huku nikisikiliza nyimbo zake.

Isingekuwa Betri kuisha kwenye redio yangu ya Mkulima, huenda ningemaliza ekari 2 leo kwa kulima ๐Ÿ˜œ๐Ÿค—
 
Wareereee warereee warereee๐Ÿคธ๐Ÿคธ๐Ÿคธ๐Ÿคธ๐Ÿคธ๐Ÿคธ๐Ÿคธ๐Ÿคธ๐Ÿคธ๐Ÿคธ๐Ÿ’›๐Ÿ’›๐Ÿ’›๐Ÿ’š๐Ÿ’š๐Ÿ’š๐Ÿ’š๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜˜!!
 
Huu wimbo siku ya kwanza kuusikiliza sikumbuki niliurudia mara ngapi.Napenda sana nyimbo za style hii na ni kali sana pia.Sipendi manyimbo ya kupayuka payuka hovyooo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ