View attachment 2625463
Wale wa ng'ambo ile wanauliza mmevukaje?
Na ng'ambo hii wanajibu mnashindwaje?
Ulionalo gumu kwa mwingine rahisi...
Ulionalo rahisi kwa mwingine ni gumu...
Kamwe Mapito yanatofautiana......
Tutiane moyo sote maana safari ni moja.
Sababu tunategemeana, tegemeana x3
.......................
Huyu Mjukuu, amefanya leo nilime eneo kubwa hapa shambani huku nikisikiliza nyimbo zake.
Isingekuwa Betri kuisha kwenye redio yangu ya Mkulima, huenda ningemaliza ekari 2 leo kwa kulima ๐๐ค