Selfika na JF: Snap it. Show it

Yani acha tu
Watoto huwa wanawapenda sana wazazi wao so msipokuwa karibu lazima Kuna athar zitatokea tu haijalishi anatumalaki 5 za matumiz Kwa mwez Kuna ule upendo atakosa tu
Yeah upendo wa baba kwa mtoto ni unconditional .

Unamfanya awe na furaha muda wote , na kukua katika mstari ulinyooka .
 
Reactions: 511
Kuna zile za Bahati mbaya
Mimba inaingia bila kupanga .

Mwingine anawatekeleza wote , mtajijua wenyewe πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ .

Ni kama kuachwa vile , unakaa unampenda weeh , Mara ghafla MTU kakuacha .
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Unajikuta katoto kakikungalia sana tu unaanza muone sura kama babaakeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Yeah upendo wa baba kwa mtoto ni unconditional .

Unamfanya awe na furaha muda wote , na kukua katika mstari ulinyooka .
Really Kuna bond nzuri sana katoyao hata mm na babaangu aisee ulikuwa humwambii kitu πŸ˜€
 
Bro nipo journey ya kuelekea 30,πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Yaani shwa 30 ile , hata mchuchu sina πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Wee changamka sasa, mbona ma bro wengi hapa, huyu Gily je hasomeki??
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Unajikuta katoto kakikungalia sana tu unaanza muone sura kama babaakeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Na first born wanafanana na baba zao balaa .
Unaishia kumkumbuka jamaa tu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…