mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,318
- 72,095
fanya hivyo πAiseee π€ π€£
Kukaa mbele?Dodoma?
Nilikuwepo ila sikutaka kukaa mbele π
Nipoo, haya njoo kahama , anaanza kesho.
Mi mzima kabisa ndugu yangu
π πfanya hivyo π
Msukuma Kwa kusifuuZamani kidogo kuna memba alikuwa akiitwa Cute Eyes. Ni wewe mkuu ulibadili ID? Tulikuwa tunaitana mpwa halafu akapotea ghafla. Alikuwa na macho mazuri mno akikuangalia yaani ni kama vile anakukaribisha ukale chakula chenye viungo vyote vinavyojulikana hapa duniani; na kilichopikwa kwa ustadi wa kimalaika. Kama ni wewe sema!
Huyu Mtumishi huwaga hana shida siyo kama akina Mama Mchungajifanya hivyo π
Ukae mbele nikuone dear .Dodoma?
Nilikuwepo ila sikutaka kukaa mbele π
Nipoo, haya njoo kahama , anaanza kesho.
Mi mzima kabisa ndugu yangu
siamini mpaka nione πHuyu Mtumishi huwaga hana shida siyo kama akina Mama Mchungaji
watu tumepambana siku mbili tunakesha hatujala yeye kauchuna tu. Tayana-wog ataselfika tu muda si mrefu subiri hapo hapo usiondoke π
Shemeji tulia basi kha! πππ
Hahaha,alooo nimechekaKukaa mbele?
Mimi nilikuwa nakomaa na wale wahudumu nikidhani kwamba nitakuona. Nilimuona mmoja mwenye umbo kali kama lako nilipomkaribia nikagundua siyo wewe...Baada ya siku mbili nikapoteza matumaini nikaona nikomae tu na Neno...ππππΏ
We Rey, halafu nimekumis ,nakusoma tu kwenye ubuyu kule....
Aah huyu mtt msumbufu ,anataka picha za mashangazi , achana naeTayana-wog hebu ondoa Utomaso wa huyu kijana pulizi πππΏ
nimeshakua mtoto tena?? hamna shida πAah huyu mtt msumbufu ,anataka picha za mashangazi , achana nae
Asubiri mida yetu ya usiku....π€£π€£
Oooh!Hahaha,alooo nimecheka
Na sikuhudumu ,yes km sihudumu popote Huwa mara nyingi nakaa zangu mbele km muombaji tu,nakula neno huku unaomba....maana kule Kuna vitengo vingi....
Huwa Kuna utaratibu maalumu, ili uhudumu muhimu uwahi maandalizi pia, na sikuwepo wakati wa maandalizi, kwahiyo ,nikatulia tu kama muombaji!
Na waombaji tumegawanyika ,Kuna wanaokaa ndani kule mpk mwalimu ashuke,mnashikilia ....halafu Kuna wa nje, pale mstari wa mbele,kwahiyo usingeniona!
Ila si uliona mambo ,Hali inatisha,Yesu atusaidie!
Kumbe yupo kwa mashangazi. Nilikuwa sijui π³π³π³Aah huyu mtt msumbufu ,anataka picha za mashangazi , achana nae
Asubiri mida yetu ya usiku....π€£π€£
HapanaUkae mbele nikuone dear .
Aah basi ni dar hiyo ilikuwa!Oooh!
Safari nyingine nitakudabua huko huko kwa waombaji wa mstari wa mbele....
Lilikuwa ni lile somo lililohusu Umuhimu wa Maombi ya Kimkakati ili Kuombea Taifa. Ilikuwa mara yangu ya kwanza kumsikiliza mwalimu laivu. Yuko vizuri sana na kila nikisikia semina zake kama nitakuwa na uwezo wa kufhudhuria nitafanya hivyo. Analijua Neno na anajua jinsi ya kulifafanua.
Safari nyingine tuwasiliane mapema Mtumishi ππΏ
Ogaa!!! Weting be dis π³π³π³π€View attachment 2616795
cocastic Naenda kumuona yule rafiki yako alojazia jazia....Selfika baadae nitupie picha yake ππ