Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ewaaaa warembo hao na hata ukiniambia nichague sijui ntam pick nani hapo 😘😘😘 ila wote ni beautiful asee Mungu fundi sema huyu Bantu Lady mkorofi kweli yaani acha tu 😏😒😒😒😒 amenisingizia vingi vya uongo ila Mungu anamuona 😞😔😞
Nitakubonda wewe, halafu niwewe au nani aliyefanya kuna watu wananifatafata kama mkojo kila napoenda. Sina ukoo humu so kila mtu afe kivyake sitaki fatwafatwa nyuma miye.
Lala sasa ukue, haya ya kukusingizia tutayaongea mwakani. Kwanza nimekusingizia nini? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Nitakubonda wewe, halafu niwewe au nani aliyefanya kuna watu wananifatafata kama mkojo kila napoenda. Sina ukoo humu so kila mtu afe kivyake sitaki fatwafatwa nyuma miye.
Lala sasa ukue, haya ya kukusingizia tutayaongea mwakani. Kwanza nimekusingizia nini? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😁😁😁😁😁 Usitaniwe na ww eeeeh

Kupanick kote kwann sasa relax bana mkuu,,,,, jokes tu za hapa na pale 😊😊😊😊.

Kule unakofwatwa sio mm ila si unajua jf ni kubwa sana mkuuu 😜😜
 
😁😁😁😁😁 Usitaniwe na ww eeeeh

Kupanick kote kwann sasa relax bana mkuu,,,,, jokes tu za hapa na pale 😊😊😊😊.
I know wala sijapanic. Naanzaje kupanic kwako rafiki wa udongo 😆😆😆😆 Good night...
Sema nina Ignore list ndefu sana....💃
 
Ipi hiyo?
Nilishasoma na mama anatukulia class 20 years, She had already experienced a full life, alikuwa ana watoto wanatuzidi, sasa nitakupa story ilikuaje akarudi shule na huo umri, ilinifunza kitu kwamba kwenye maisha its not too late to become unachotaka. Ni miaka imepita sasa, aligraduate na alikuwa moja wanafunzi waliofanya vizuri sana. Alituma barua kumualika ex husband wake kwenye graduation yake na juu ya envelope aliandika f__ck you, nitakupa kisa ilikuaje.
 
Sponsor uje nitimize ahadi basi. Mjep
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Usingizi umeniponza wallah............

Hawa Man U ndo wamenisababishia matatizo yoote haya

Poor me........😭
Poor......😭
 
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Usingizi umeniponza wallah............

Hawa Man U ndo wamenisababishia matatizo yoote haya

Poor me........😭
Poor......😭
Nikutumie mkuuu 😁😁
 
Back
Top Bottom