I'm in the big mood
Girl, I dey feel you
Something wey come cooli my body
Tell me will you do
I'm in the big mood
Girl, I dey feel you
Something wey come cooli my body
Tell me will you do
Aahh hata mkipewa show kali, generally huwa mnalalamika tu kwamba wanawake wa siku hizi wanapenda hela, mara sijui wote wanajiuza tofauti ni namna tu wanavyojiuza
Mimi nawashauri acheni hizo stereotypes za kusema eti sijui, "oo wanawake wakifika umri fulani hawafai kuolewa wanakuwa wamechakaa kwa kutumika sana", and stuff like that
Hizi kauli ndio zinawacost, na wao wanawashangaa maana mnaowatumia ni ninyi wenyewe, halafu mwisho wa siku mnakuja kulalamika tena kwamba wametumika