Si ndio, maana mki hit and run baadaye wakifikisha miaka 30+ hawajaolewa, mnaanza kuwatukana na kusema kuwa wametumika sana
Mara sijui naniliu zina mileage kubwa hivyo hawafai kuolewa kwahiyo nao wanatafuta cha kupoozea machungu ya hayo matusi yenu
Kusudi hata huko mbeleni mkija kuwatukana angalau kuna kitu waliambulia ninyi mmewapotezea muda na wao wamewapotezea pesa