Kweli Serikali imeupiga mwingi, kutoka kutoa umiliki wa miaka 99 ya ardhi hadi kuwa miaka 33π€
Yaani ile watoto na ndugu wakigombea urithi kwa kupelekana Mahakamani, ghafla unakuta mmiliki ameshageuka kutoka kwa Marehemu kuwa ni Serikali πββοΈπ