Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,769
- 54,903
Achana naye chizi huyo. Wenye dhamana ya kusimamia mpira wa miguu hapa Afrika wana takwimu yao. Naomba unitafutie Yanga hapo ya ngapi hapa Afrika AntonniaWanathiiiiiiiiiiiiiiiiimmbaaaa🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤗🤗🤗
Huyu kama ana ile ndude kwa mguu kuna asilimia kubwa wa Dar 🤔😀Tufanye jambo basi au vp kama yupo dar Itakuwa vizur kama yupo mkoa tumtumie nauli
Huyu kama ana ile ndude kwa mguu kuna asilimia kubwa wa Dar [emoji848][emoji3]
Hapa tushapunguza gharama mwanawane
Bakii hapaa hapaa bongoo babuu !!View attachment 2606308
Maandalizi ya kuhamia Burundi kama tulivyoshauriwa na Mtunza Kibubu chetu🙌
Hello Monday 🥂
View attachment 2606308
Maandalizi ya kuhamia Burundi kama tulivyoshauriwa na Mtunza Kibubu chetu[emoji119]
Hello Monday [emoji1635]
Amekuwa kipenzi mda si mrefu naozesha 🤪😂😂Ikwapi hio picha mamaa laoo bila shaka dogo anaendelea vizuriii!! Atakua amekuaa kweli Saivi!!
Marahaba MkweAfadhari uhamie Burundi
Watoto wako wakike wabaki hapa hapa Tanzania
Shikamoo baba mkwe
Marahaba Mkwe
Ila ukweli wa Mungu, Sina hamu na Mkwe wewe, yaani umekaa na Mjukuu wangu miaka 3 sasa mnapika mnapakua pamoja eti unampa uzoefu wa ndoa.
Yaani usipomwoa lazima nikuendee Nigeria [emoji2957]
Miaka ya zamani Kudinda kulikuwa na maana tofauti na hii ya hapa, sijui una maana ile ile ya mwaka 47 au ndiyo maendeleo ya Kiswahili kubadirika kulingana na Wakati 🙈🏃🏃Bakii hapaa hapaa bongoo babuu !!
Ndio ulidinda mazima kutubless wajukuu zako granpah eeh??😉🤗
Hahahaaa...Miaka ya zamani Kudinda kulikuwa na maana tofauti na hii ya hapa, sijui una maana ile ile ya mwaka 47 au ndiyo maendeleo ya Kiswahili kubadirika kulingana na Wakati 🙈🏃🏃
Nikipata miwani yangu ya Macho lazima nitaweka moja hapa, saivi Simu yangu ameshika last born wangu 🤪
Akhsaaannteeeeehhh 😍😍😍😍😍😍!Kitambo sana humu sijatupiaView attachment 2606354@
Asante kipenzi 🙏🏽😍Akhsaaannteeeeehhh 😍😍😍😍😍😍!
Mmpendezajeeeeeee !! Uwiiii!!
Hakika Inapendeza sana ❤️
Usijali, leo uhakika maana kuna picha Bibi yenu alinipiga tukivuna Maharage shambani 🤗Hahahaaa...
Haya nasubiria upate miwani babuu!
Chalii amekuaa muandalie mdogo wakee umalize zako mapemaa 😍😍!!Asante kipenzi 🙏🏽😍
Nakuaminia babuuu hujawahi niangushaa kabessaaaaa!!!Usijali, leo uhakika maana kuna picha Bibi yenu alinipiga tukivuna Maharage shambani 🤗
Very soon MjukuuNakuaminia babuuu hujawahi niangushaa kabessaaaaa!!!
Lemme wait hapaa🙇
Ishaalah mwaka huu naomba ingie nyingine 😁😁🏃🏿♀️Chalii amekuaa muandalie mdogo wakee umalize zako mapemaa 😍😍!!
Babu kijana upo?Very soon Mjukuu