Mara ya mwisho nilipeleka mapendekezo ya Katiba Mpya kwa Madam President, tuliweka kipengele kuwa kwenye Kila matangazo ya Ajira Mpya ni lazima muombaji akiri kuwa akipata ajira ni lazima Aoe.
Kuweni na amani mabinti, kila Mwanamke ataolewa kwa Mujibu wa Katiba Pendekezwa