Mwambie kiwe cha uani tafadhali 😀Karibu sana mkuu!! Dalali atakutafutia chumba kuhusu hilo Usijareee kabesaaa 😊!
Mwambie kiwe cha uani tafadhali 😀Karibu sana mkuu!! Dalali atakutafutia chumba kuhusu hilo Usijareee kabesaaa 😊!
Mi naomba utupie uliyosimama au kukaa nione mwili mzima,Na mm ntatuma passport size yeye sura yangu kabisa[emoji4]Asante ila sura Baba J umetuzibia sana, umeweza kupumua kweli? Ila umeshazoea kufunikwa katikati ya.... [emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
🤝🤝🤝🤝👊👊👊👊Mi naomba utupie uliyosimama au kukaa nione mwili mzima,Na mm ntatuma passport size yeye sura yangu kabisa[emoji4]
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mambo ya urembo hayo,Watu wana hatari sana, ngoja wawe vipofu kwanza
Hilo tu limeishaaa 😊Mwambie kiwe cha uani tafadhali 😀
Bantu rede usituangusheee😁😁😂😂Mi naomba utupie uliyosimama au kukaa nione mwili mzima,Na mm ntatuma passport size yeye sura yangu kabisa[emoji4]
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Utani wa ngumi huu kaka 😂😂🤣🤣!!Mambo ya urembo hayo,
Mwanamke anatakiwa apendeze,
Sio unakua na mwanamke hajipendi
Ukiona mwanmke hata uso wake tu unaoonekana hawez kuujali, Hali itakuaje uko chini kusikoonekana haraka[emoji1]
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kweli kabisa mwambaaaMambo ya urembo hayo,
Mwanamke anatakiwa apendeze,
Sio unakua na mwanamke hajipendi
Ukiona mwanmke hata uso wake tu unaoonekana hawez kuujali, Hali itakuaje uko chini kusikoonekana haraka[emoji1]
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Nyie 😄😄😄😄🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻 ila Inspire You mbona kama mwenyeji 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️Bantu rede usituangusheee😁😁😂😂
Do the needful kwa kakaakee pullliiizzzzzzzzzzzzzzz 😂
Nasubiria gushepuu na passport ya kakaa hapaaa🙇🙇😁
Kivipi mrembo Bantu Lady. 😂😂😂Nyie 😄😄😄😄🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻 ila Inspire You mbona kama mwenyeji 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
🤣🤣🤣🤣Nyie 😄😄😄😄🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻 ila Inspire You mbona kama mwenyeji 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Serious, wanawake wanaojipenda sana utawaona TU kuanzia usoni[emoji4]Utani wa ngumi huu kaka [emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]!!
Mara nyingi wageni kufika huku, mpaka wazoee sana. Pia nakuona ona kaa u mwenyeji unatuchora tu hapa 😂😂😂😂😂😂 acha banaKivipi mrembo Bantu Lady. 😂😂😂
Atwambie I'd yake ya zamani Ni ipi[emoji4]Mara nyingi wageni kufika huku, mpaka wazoee sana. Pia nakuona ona kaa u mwenyeji unatuchora tu hapa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha bana
Guest member 😂😂😂
Serious, wanawake wanaojipenda sana utawaona TU kuanzia usoni[emoji4]
Imagine Kama kile kisura Cha Kalpana kilivo smooth kinang'aa utadhn kimefanyiwa waxing
Wee unadhan uko chini patakuaje ukzingatia mwanamke mwnyw yule rangi ya chocolate jotoridi sentigredi buku[emoji1]
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Nimejua tu u mwenyeji 😄😄😄😄 ila lazima kuna ka ID kapo kametulia...😂😂😂 Niko jf kama 10yrs now, ila kama guest member. Nimeona napitwa sana ndio nikajiunga this year.
Kwa id kweli mgeni ila kwa matukio ya humu kitambo sana. 😂😂View attachment 2598342
😂😂😂😂 Sina id nyingine Bantu Lady, ni hii tu. Blessings ziko Usijali nitatupiaNimejua tu u mwenyeji 😄😄😄😄 ila lazima kuna ka ID kapo kametulia...
Karibu sana Selfika... endelea kutubless kama hivi, na sura pia hata ukificha kidogo 🤗🤗🤗🤗
Muongo wee ukute unatuchora tu hapaaa ulikua unatumia username gani Kwani 😊Guest member 😂😂😂