cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Apr 16, 2023 #321,201 National Anthem said: kwani hujuiii... kuwa Antonnia ni malkia ... ni kusafishanaa tuuu na shangazi wangu Click to expand... Basi hongereniii waja.
National Anthem said: kwani hujuiii... kuwa Antonnia ni malkia ... ni kusafishanaa tuuu na shangazi wangu Click to expand... Basi hongereniii waja.
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Apr 16, 2023 #321,202 Ms eyes said: Hebu tupeane Hizo dawa Click to expand... Ntakupaaa dear,
sumbai JF-Expert Member Joined Jun 16, 2014 Posts 20,890 Reaction score 47,611 Apr 16, 2023 #321,203 Ms eyes said: Wanataka kuchovya chovya kila sehemu Click to expand... Kwanini wanafanya hivyo?? Ila watu dah Sent using Jamii Forums mobile app
Ms eyes said: Wanataka kuchovya chovya kila sehemu Click to expand... Kwanini wanafanya hivyo?? Ila watu dah Sent using Jamii Forums mobile app
Ms eyes JF-Expert Member Joined Feb 4, 2023 Posts 4,773 Reaction score 11,976 Apr 16, 2023 #321,204 cocastic said: Ntakupaaa dear, Click to expand... Me waiting πππββοΈπββοΈ
National Anthem JF-Expert Member Joined Aug 9, 2022 Posts 19,175 Reaction score 56,203 Apr 16, 2023 #321,205 Mshana Jr said: View attachment 2589890 Click to expand... Bob Junior alivyo danja na nyie ndio tuna wa kill hivyo hivyo
Mshana Jr said: View attachment 2589890 Click to expand... Bob Junior alivyo danja na nyie ndio tuna wa kill hivyo hivyo
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Apr 16, 2023 #321,206 Ms eyes said: Me waiting Click to expand... bas sawaah
National Anthem JF-Expert Member Joined Aug 9, 2022 Posts 19,175 Reaction score 56,203 Apr 16, 2023 #321,207 cocastic said: Basi hongereniii waja. Click to expand... Asanteeeee sana π π π Maisha ndio haya haya
cocastic said: Basi hongereniii waja. Click to expand... Asanteeeee sana π π π Maisha ndio haya haya
Lovelovie JF-Expert Member Joined Oct 2, 2021 Posts 12,973 Reaction score 26,963 Apr 16, 2023 #321,208 National Anthem said: π π haya ndio mambo yangu sasa, hata siku nne tunakeshaaa Click to expand... Eeeeh hivo hivo
National Anthem said: π π haya ndio mambo yangu sasa, hata siku nne tunakeshaaa Click to expand... Eeeeh hivo hivo
sumbai JF-Expert Member Joined Jun 16, 2014 Posts 20,890 Reaction score 47,611 Apr 16, 2023 #321,209 cocastic said: Ila jaman mazoea yana tabu, huyu mtoto kila match anakuja kwangu kutazama, utadhani vibanda umiza havioni, Akaaah leo mie sitaki, nataka niwe pekee angu, nashindwa hata kukaa uchi kisa watu lol. watoto wenginee uwiiiih. Click to expand... Be careful watoto WA siku hizi hawakawii kupindua mezaaa Sent using Jamii Forums mobile app
cocastic said: Ila jaman mazoea yana tabu, huyu mtoto kila match anakuja kwangu kutazama, utadhani vibanda umiza havioni, Akaaah leo mie sitaki, nataka niwe pekee angu, nashindwa hata kukaa uchi kisa watu lol. watoto wenginee uwiiiih. Click to expand... Be careful watoto WA siku hizi hawakawii kupindua mezaaa Sent using Jamii Forums mobile app
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Apr 16, 2023 #321,210 National Anthem said: Asanteeeee sana Maisha ndio haya haya Click to expand... Haswaaaaah ndo haya haya. ?
National Anthem said: Asanteeeee sana Maisha ndio haya haya Click to expand... Haswaaaaah ndo haya haya. ?
National Anthem JF-Expert Member Joined Aug 9, 2022 Posts 19,175 Reaction score 56,203 Apr 16, 2023 #321,211 Lovelovie said: Eeeeh hivo hivo Click to expand... Imepita na kuisha hiyooo mdogo wangu ππ
Ms eyes JF-Expert Member Joined Feb 4, 2023 Posts 4,773 Reaction score 11,976 Apr 16, 2023 #321,212 cocastic said: Ila jaman mazoea yana tabu, huyu mtoto kila match anakuja kwangu kutazama, utadhani vibanda umiza havioni, Akaaah leo mie sitaki, nataka niwe pekee angu, nashindwa hata kukaa uchi kisa watu lol. watoto wenginee uwiiiih. Click to expand... Pole babe π
cocastic said: Ila jaman mazoea yana tabu, huyu mtoto kila match anakuja kwangu kutazama, utadhani vibanda umiza havioni, Akaaah leo mie sitaki, nataka niwe pekee angu, nashindwa hata kukaa uchi kisa watu lol. watoto wenginee uwiiiih. Click to expand... Pole babe π
Lovelovie JF-Expert Member Joined Oct 2, 2021 Posts 12,973 Reaction score 26,963 Apr 16, 2023 #321,213 Thawa National Anthem said: Imepita na kuisha hiyooo mdogo wangu ππ Click to expand...
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Apr 16, 2023 #321,214 sumbai said: Be careful watoto WA siku hizi hawakawii kupindua mezaaa Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... mtoto wa 4m 3 atanifanya nn mie?? Apindue meza gani? Acheze na watoto wenzake wa sec huko. Yaan bahati yake ni mwana lunyasi, vinginevyoo leo ningemkataliaa,
sumbai said: Be careful watoto WA siku hizi hawakawii kupindua mezaaa Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... mtoto wa 4m 3 atanifanya nn mie?? Apindue meza gani? Acheze na watoto wenzake wa sec huko. Yaan bahati yake ni mwana lunyasi, vinginevyoo leo ningemkataliaa,
National Anthem JF-Expert Member Joined Aug 9, 2022 Posts 19,175 Reaction score 56,203 Apr 16, 2023 #321,215 cocastic said: Haswaaaaah ndo haya haya. ? Click to expand... Ingawa wanatuonea wivu, ila sie hatujaleeee.. ndio kwanza tunakanyagaa kibatiiii speed 340kmh kwenye kona shwaaaa
cocastic said: Haswaaaaah ndo haya haya. ? Click to expand... Ingawa wanatuonea wivu, ila sie hatujaleeee.. ndio kwanza tunakanyagaa kibatiiii speed 340kmh kwenye kona shwaaaa
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Apr 16, 2023 #321,216 Ms eyes said: Pole babe Click to expand... Yaan nimejilalia zangu chumbani, nasikia sebulen mlango unagongwa, kufungua n yeye, eti amekuja kuangalia mpira yaan anataka aone uchambuzi kabisaa, daaaah yaan bas tyuuh.
Ms eyes said: Pole babe Click to expand... Yaan nimejilalia zangu chumbani, nasikia sebulen mlango unagongwa, kufungua n yeye, eti amekuja kuangalia mpira yaan anataka aone uchambuzi kabisaa, daaaah yaan bas tyuuh.
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Apr 16, 2023 #321,217 National Anthem said: Ingawa wanatuonea wivu, ila sie hatujaleeee.. ndio kwanza tunakanyagaa kibatiiii speed 340kmh kwenye kona shwaaaa Click to expand... Hebu sema kweli? Sasa mbna mie cna taarifaa??
National Anthem said: Ingawa wanatuonea wivu, ila sie hatujaleeee.. ndio kwanza tunakanyagaa kibatiiii speed 340kmh kwenye kona shwaaaa Click to expand... Hebu sema kweli? Sasa mbna mie cna taarifaa??
Ms eyes JF-Expert Member Joined Feb 4, 2023 Posts 4,773 Reaction score 11,976 Apr 16, 2023 #321,218 cocastic said: Yaan nimejilalia zangu chumbani, nasikia sebulen mlango unagongwa, kufungua n yeye, eti amekuja kuangalia mpira yaan anataka aone uchambuzi kabisaa, daaaah yaan bas tyuuh. Click to expand... ππ Kwahiyo upo nae Hapo sasa hivi?
cocastic said: Yaan nimejilalia zangu chumbani, nasikia sebulen mlango unagongwa, kufungua n yeye, eti amekuja kuangalia mpira yaan anataka aone uchambuzi kabisaa, daaaah yaan bas tyuuh. Click to expand... ππ Kwahiyo upo nae Hapo sasa hivi?
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Apr 16, 2023 #321,219 Ms eyes said: Kwahiyo upo nae Hapo sasa hivi? Click to expand... Mie niko chumbani, yeye yuko sebuleni anatazama huo uchambuzi.
Ms eyes said: Kwahiyo upo nae Hapo sasa hivi? Click to expand... Mie niko chumbani, yeye yuko sebuleni anatazama huo uchambuzi.
National Anthem JF-Expert Member Joined Aug 9, 2022 Posts 19,175 Reaction score 56,203 Apr 16, 2023 #321,220 cocastic said: Hebu sema kweli? Sasa mbna mie cna taarifaa?? Click to expand... π π π π taarifa tenaaa... taarifa upewe mala ngapiii sasa
cocastic said: Hebu sema kweli? Sasa mbna mie cna taarifaa?? Click to expand... π π π π taarifa tenaaa... taarifa upewe mala ngapiii sasa