ZABURI 118:5-7
⁵ Katika shida yangu nalimwita Bwana; Bwana akanijibu akaniweka panapo nafasi.
⁶ Bwana yuko upande wangu, sitaogopa; Mwanadamu atanitenda nini?
⁷ Bwana yuko upande wangu, msaidizi wangu, Kwa hiyo nitawaona wanaonichukia wameshindwa.
HILO NDILO NENO LA MUNGU