Selfika na JF: Snap it. Show it

Mie nimeona mengi na kujifunza mengi .. kuna kipindi nilishaka JF nje hasa 2014 hadi 2019 nahizi ndio nokarudi tenaa. Ila sijawa tunutukiwa na mapambanooo yooote humu.. hadi nazeeka
 
Wapi mwana


Nilikuwa napitia nyuzi yao

2012 huko mademu walikuwa wanafunguka Ile Ile

Na kulikuwa na mabazazi balaa

Miaka 11 hao sasa mama zetu
Kulikuwa na kisu moja ingine nomaaa mzee.. sema ipo active ningekutajia.. ila itaona maana na mume wake naona ana ID humu, tusije anzisha vita
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…