Sema Kama unakumbuka selection za miaka ile za mjengoni kabla released by tcu. Zili liak pitia humu. Ndipo nikaifahamu. Sema akili ya kujiunga nilikuwa Sina kabisa.
Kumbe umekula mema mengi Sana na mzee mwenzio National Anthem
Sema Kama unakumbuka selection za miaka ile za mjengoni kabla released by tcu. Zili liak pitia humu. Ndipo nikaifahamu. Sema akili ya kujiunga nilikuwa Sina kabisa.
Kumbe umekula mema mengi Sana na mzee mwenzio National Anthem
Mie nimeona mengi na kujifunza mengi .. kuna kipindi nilishaka JF nje hasa 2014 hadi 2019 nahizi ndio nokarudi tenaa. Ila sijawa tunutukiwa na mapambanooo yooote humu.. hadi nazeeka
Mie nimeona mengi na kujifunza mengi .. kuna kipindi nilishaka JF nje hasa 2014 hadi 2019 nahizi ndio nokarudi tenaa. Ila sijawa tunutukiwa na mapambanooo yooote humu.. hadi nazeeka
Arusha wing huyoo.. mie nilikuwa namuelewa Paloma .. si wajua uzuri wa mtu upo machoni.. kama asahivi malkia namba moja Jf ni Antonnia ... mzuri wa mda wote
Arusha wing huyoo.. mie nilikuwa namuelewa Paloma .. si wajua uzuri wa mtu upo machoni.. kama asahivi malkia namba moja Jf ni Antonnia ... mzuri wa mda wote