Wee Jichanganye unywe ya baridi sana ikufanye kitu mbaya kama ile siku!!Amarula iko kichwani hapa ππππππππ naacha kuandika kwa kweli. Kesho naweza nisivisome π π π π π
Ringa dada km unavyoringagaaa...ringaaaaaa!!!Kwahiyo nianze kuringa eeeh? Asante mkwe for the compliments
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Hili song ukiliimba wakati mambo yapo vizuri kwenye penzi lazima ujikute Dunia you're unaimiliki wewe. Ila ikiwa vinginevyo....!!Kimaso maso aah
Umenifuta machozi
Umenifuta jasho aah
Nimesahau machungu
Naenjoy kwako aah
Niko dunia nyingine eeh
Nitachonga barabara
Ya mapenzi nipite nawe
Iwe imara imara
Kwa ujenzi kokoto mawe
Naomba sana sala
Kwa Mwenyezi nizikwe nawe
Unang'ara ng'ara mbalamwezi
Sa acha ni mine
Oh my God
I feel so lucky
To have you in my life
Oh my love, you are the blessing brought for me from above
Oh my love, I'll be your man forever
Will you be my wife?
Baba Lord atulinde mi nawe
Together for life, yeah
Unapendeza sana sana (Zue, Zuena)
Unanimaliza sana sana (Zue, Zuena)
Zuena aah (Zue, Zuena)
Zuena, oh I love you (Zue, Zuena)
Zue, Zue, Zue, Zuena, Zuena
Zue, Zue, Zue, Zuena, Zuena
Kanitoa bahari ya kusi
Kanileta mashariki (Zuena)
Huyu sungura, mwenye nyeupe nyusi
Hizi mbichi haziliki (Zuena)
Nikupindue pindue
Kama nageuza samaki (Samaki)
Wasiojua wajue
Nimekupenda sikuachi
Hii tabia sikumbuki imeanza lini, ila ninayo tu. Naangalia na hakuna hata cha maana nafanya. Mazoea tu kama wao wanavyogeuka tukipita. Nao tunawaanzia mbele kuwaangalia πππππ"Yupi yamo yupi pasi" unajua umeshondikana wewe hahahaππππ π€£
Sasa sisi hawa mabinti wanavowakodolea π³π³Walimu wa kiume hadi walimu wamesalutiππππππ
Yani unakuta ile ameingia tu macho yote maeneoooiπ³π³π³π³π³π³Anaelekeza mabinti π³π³π³π³mpaka Wengine wameamua hawachomekei sikuhizi kisa watoto khakhakhaaaa!!
Kwa nini mnapenda kutuangalia kwenye zipu?"Yupi yamo yupi pasi" unajua umeshondikana wewe hahaha
Sasa sisi hawa mabinti wanavowakodoleaWalimu wa kiume hadi walimu wamesaluti
Yani unakuta ile ameingia tu macho yote maeneoooiAnaelekeza mabintimpaka Wengine wameamua hawachomekei sikuhizi kisa watoto khakhakhaaaa!!
Ngoma droo ausio hahahaa umetishaaa sana!! !! Hio tabia nahisi Wengi tunayo!Hii tabia sikumbuki imeanza lini, ila ninayo tu. Naangalia na hakuna hata cha maana nafanya. Mazoea tu kama wao wanavyogeuka tukipita. Nao tunawaanzia mbele kuwaangalia πππππ
Huwa ipogo tu halafu hakuna hata cha maana ila tushazoea tu!Kwa nini mnapenda kutuangalia kwenye zipu?
Juzi natoka night shift saa moja,kidogo hali ilikuwa siyo hali maana niliisinzia asubuhi kwenye kiti,nilipoamka tu nikasimamisha. Yule mdada alipokuja kuchukua report ya kazi ya usiku Cha kwanza macho yake yakagonga kwenye zipu. Niliweka mikono mifukoni ghafla bin vuu na kutafuta kiti nikae Kisha tutete.
Bantu Lady why mko hivi?
Unaona ni wadada wengi kumbe. Mimi naangalia kama imesimama nione size basi.Kwa nini mnapenda kutuangalia kwenye zipu?
Juzi natoka night shift saa moja,kidogo hali ilikuwa siyo hali maana niliisinzia asubuhi kwenye kiti,nilipoamka tu nikasimamisha. Yule mdada alipokuja kuchukua report ya kazi ya usiku Cha kwanza macho yake yakagonga kwenye zipu. Niliweka mikono mifukoni ghafla bin vuu na kutafuta kiti nikae Kisha tutete.
Bantu Lady why mko hivi?
Niliwahi tupia picha hapa, nakumbuka cocastic Cha kwanza ilikuwa kukomenti juu ya dushe. Nikasema astaghafillulah!!!Huwa ipogo tu halafu hakuna hata cha maana ila tushazoea tu!
Huwa hampati nyege?Unaona ni wadada wengi kumbe. Mimi naangalia kama imesimama nione size basi.
Kuna kaka mgeni alikuja ofisini, japo alishaondoka.
Akawa ananifatilia, sasa kila mara inasimamana ni likubwa hilo.
Basi mdada mmoja mtu mzima, akanifata akaniambia mdogo wangu, mfanyakazi mpya mambo yake si mchezonikajifanya sijawahi kumuona ikiwa imesimama
Msitufanyie hivyo jamani, acheni tuone yaliyomo yamo? π π π π πKama mnazoom kiasi hiki dawa yenu kuwawekea picha za miguuu tuu.
Bantu lady fanya ulalee naona Amarula inakuwehusha Ujue ππππ!!Unaona ni wadada wengi kumbe. Mimi naangalia kama imesimama nione size basi.
Kuna kaka mgeni alikuja ofisini, japo alishaondoka.
Akawa ananifatilia, sasa kila mara inasimama π π π π π π na ni likubwa hilo.
Basi mdada mmoja mtu mzima, akanifata akaniambia mdogo wangu, mfanyakazi mpya mambo yake si mchezo π€£π€£π€£π€£π€£π€£ nikajifanya sijawahi kumuona ikiwa imesimama πππππ ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»
Nzuri myoyambendi za kwako pia na za jumapili? Tunashukuru kwa salamu, ubarikiwe kaka...Salam kwenu wadau..
Ndonimetoka tarawehe hapa kusali! Ndo nakutana na manyoya Kama hivi!Usiku mwema wapendwa mrare unono!!
Naamu! Naona pili pili manga Kama zote mzee!
Yes mzee nimesikia kuwa zinaongeza zinkiNaamu! Naona pili pili manga Kama zote mzee!