Siunajua nimekuja handeni kuwaona wazee; Sasa nikamtembelea jamaa yangu mmoja ni mtu wa tunguri tunguri ndo akanipa deiwaka ya kuwa nawapaka watoto wa kike dawa; wakisha aguliwa huko; kazi yangu mimi nikuwapaka dawa mwili mzima.
Siunajua sisi majobless full kujichanganya hatubagui kazi