Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,378
Wanayanga matumbo moto yaani. Sijui itakuwaje leo. Presha ni kubwa sana dah!Wanasimba jana wamenifurahishaaa
Bantu Lady piga sala huko pulizi tutoboe

Wanayanga matumbo moto yaani. Sijui itakuwaje leo. Presha ni kubwa sana dah!Wanasimba jana wamenifurahishaaa

Ni kweli kabisaa. Mafundisho hayoo yanatukosesha vitu vizuri imagineKweli?
Waislamu wanakatazwa kula mbuzi wa Vatican (kitimoto). Sisi Wagalatia huku tunakatazwa kula nini? Labda Wasabato wanaoshikilia baadhi ya visheria uchwara vya Musa mf. kutokula samaki wasio na magamba, wanyama wasiocheua, wasio na kwato/miguu iliyopasuliwa, nyamafu, kitimoto n.k.
Kihistoria Wachina walishapata njaa kadhaa wakapukutika kweli kweli. Hata majuzi tu hapa wakati wa mapinduzi ya Mao waliteketea sijui milioni mia ngapi sababu ya njaa. Inasemekana walijifunza kula karibu kila kitu katika hekaheka hizi.
tuache na vikomwe vyetuUMEKAZANA KUMTOMASAA TOMASAA CHUCHU KUMBE MWENZAKO HISIA ZAKE ZIPO KWENYE KOMWE![]()
Mama Minza. Picha yako imenipita na niko hapa hapa. Pengine ingenisaidia kupunguza presha ya mchezo wa leo maana hali ni teteSijambo mambo



Yanga wakiigiia huku akili Yao wakiiweka Kwa Simba wamekisha.Wanayanga matumbo moto yaani. Sijui itakuwaje leo. Presha ni kubwa sana dah!
Bantu Lady piga sala huko pulizi tutoboe![]()
Hahaha shemaeji fungwa tu mi hayanihusu lolote liwapate Leo picha mtapata zoteMama Minza. Picha yako imenipita na niko hapa hapa. Pengine ingenisaidia kupunguza presha ya mchezo wa leo maana hali ni tete![]()
Nawaombea mshinde Ili tupate heshima kimataifaWanayanga matumbo moto yaani. Sijui itakuwaje leo. Presha ni kubwa sana dah!
Bantu Lady piga sala huko pulizi tutoboe![]()
Umeanza lini kuwa katili hivi shemeji?Hahaha shemaeji fungwa tu mi hayanihusu lolote liwapate Leo picha mtapata zote



We komaaaa wee,,,UMEKAZANA KUMTOMASAA TOMASAA CHUCHU KUMBE MWENZAKO HISIA ZAKE ZIPO KWENYE KOMWE![]()


Shida mna midomo Sana nyie watuUmeanza lini kuwa katili hivi shemeji?
Haya basi acha tupambane na hali yetu ila tutatoboa tu leo...




Natumaini wana mwanasaikolojia mzuri ambaye anaweza kuwasaidia. Wakiingia wamepania kupiga mabao mengi kama baharia aliyemkamia demu kitakachowapata hawatakuja kukisahau. They should remain calm and just play football....Yanga wakiigiia huku akili Yao wakiiweka Kwa Simba wamekisha.
Wacheze bila kuwawaza Simba
They can win just 60%
Haya shemeji.Shida mna midomo Sana nyie watu![]()

Ameen Picha zinagomaHaya shemeji.
Sawa tu...
Angalau basi tufanyie dua ili tushinde hata kama ni kwa 1-0![]()
Mzeee mzeee. Dah tupeane lokesheni
Mwili haujengwi kwa matofali Ankol, safi sana kula ushibe Ankol... mlo mwema
Unaweza kupika Kama hivi??Mwili haujengwi kwa matofali Ankol, safi sana kula ushibe Ankol... mlo mwema
Mkuu unapotea sanaa.... lokesheni hiyo hapo mkuu 😅😅Mzeee mzeee. Dah tupeane lokesheni
Kila kitu, niambie unapenda kula nini?Unaweza kupika Kama hivi??
Bantu lady