Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kweli?

Waislamu wanakatazwa kula mbuzi wa Vatican (kitimoto). Sisi Wagalatia huku tunakatazwa kula nini? Labda Wasabato wanaoshikilia baadhi ya visheria uchwara vya Musa mf. kutokula samaki wasio na magamba, wanyama wasiocheua, wasio na kwato/miguu iliyopasuliwa, nyamafu, kitimoto n.k.

Kihistoria Wachina walishapata njaa kadhaa wakapukutika kweli kweli. Hata majuzi tu hapa wakati wa mapinduzi ya Mao waliteketea sijui milioni mia ngapi sababu ya njaa. Inasemekana walijifunza kula karibu kila kitu katika hekaheka hizi.
Ni kweli kabisaa. Mafundisho hayoo yanatukosesha vitu vizuri imagine
Huli bata, kitimoto, kambale
 
Yanga wakiigiia huku akili Yao wakiiweka Kwa Simba wamekisha.

Wacheze bila kuwawaza Simba

They can win just 60%
Natumaini wana mwanasaikolojia mzuri ambaye anaweza kuwasaidia. Wakiingia wamepania kupiga mabao mengi kama baharia aliyemkamia demu kitakachowapata hawatakuja kukisahau. They should remain calm and just play football....
 
Mchana unapita kwa wali mchemsho
Screenshot_20230319_130529_Gallery.jpg


Bantu Lady
 
Back
Top Bottom