Aaliyyah JF-Expert Member Joined Mar 20, 2022 Posts 20,001 Reaction score 48,527 Mar 14, 2023 #316,901 Mac Alpho said: Hapo kwenye jina toa "y" moja, litakaa vizuri. Mwisho wa siku litazoeleka tu. Click to expand... Walikataa kunamtu alitumia ivo
Mac Alpho said: Hapo kwenye jina toa "y" moja, litakaa vizuri. Mwisho wa siku litazoeleka tu. Click to expand... Walikataa kunamtu alitumia ivo
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,823 Reaction score 233,255 Mar 14, 2023 #316,902 Mac Alpho said: Hapo kwenye jina toa "y" moja, litakaa vizuri. Mwisho wa siku litazoeleka tu. Click to expand... Hakuna na y moja wala Nini Sisi tunajua anaitwa Sophia
Mac Alpho said: Hapo kwenye jina toa "y" moja, litakaa vizuri. Mwisho wa siku litazoeleka tu. Click to expand... Hakuna na y moja wala Nini Sisi tunajua anaitwa Sophia
Mac Alpho JF-Expert Member Joined Aug 5, 2019 Posts 13,999 Reaction score 27,975 Mar 14, 2023 #316,903 Saint Anne said: Kabisa Uzuri huku tunakunywa na saba juu Hutakaa na kiuView attachment 2551258 Click to expand... Ahahaha, daaahπ
Saint Anne said: Kabisa Uzuri huku tunakunywa na saba juu Hutakaa na kiuView attachment 2551258 Click to expand... Ahahaha, daaahπ
Aaliyyah JF-Expert Member Joined Mar 20, 2022 Posts 20,001 Reaction score 48,527 Mar 14, 2023 #316,904 Saint Anne said: Hakuna na y moja wala Nini Sisi tunajua anaitwa Sophia Click to expand... πππ
Saint Anne said: Hakuna na y moja wala Nini Sisi tunajua anaitwa Sophia Click to expand... πππ
Mac Alpho JF-Expert Member Joined Aug 5, 2019 Posts 13,999 Reaction score 27,975 Mar 14, 2023 #316,905 Saint Anne said: Hakuna na y moja wala Nini Sisi tunajua anaitwa Sophia Click to expand... Kuna sehemu alisema analikubali sana hilo jina, ndiomaana nimshauri hivyo. Ila we nae ni kabishiπ
Saint Anne said: Hakuna na y moja wala Nini Sisi tunajua anaitwa Sophia Click to expand... Kuna sehemu alisema analikubali sana hilo jina, ndiomaana nimshauri hivyo. Ila we nae ni kabishiπ
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,823 Reaction score 233,255 Mar 14, 2023 #316,906 Aaliyyah said: Mamaangu anapika nyie ndo maana sihami nyumbani Hadi wajomba waje na bakora View attachment 2550685 Click to expand... Junia anaelekea kupata mdogo wake,wewe Auntie bado upo nyumbani kweli
Aaliyyah said: Mamaangu anapika nyie ndo maana sihami nyumbani Hadi wajomba waje na bakora View attachment 2550685 Click to expand... Junia anaelekea kupata mdogo wake,wewe Auntie bado upo nyumbani kweli
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,823 Reaction score 233,255 Mar 14, 2023 #316,907 Mac Alpho said: Kuna sehemu alisema analikubali sana hilo jina, ndiomaana nimshauri hivyo. Ila we nae ni kabishi Click to expand... Sisi selfika tunajua anaitwa Sophy Hilo jingine siyo shida zetu. Nasema uongo wazee wa gengeni pressing
Mac Alpho said: Kuna sehemu alisema analikubali sana hilo jina, ndiomaana nimshauri hivyo. Ila we nae ni kabishi Click to expand... Sisi selfika tunajua anaitwa Sophy Hilo jingine siyo shida zetu. Nasema uongo wazee wa gengeni pressing
Mac Alpho JF-Expert Member Joined Aug 5, 2019 Posts 13,999 Reaction score 27,975 Mar 14, 2023 #316,908 Aaliyyah said: Walikataa kunamtu alitumia ivo Click to expand... Hapo ndo ugumu unapokuja sasa, hizo "y" mbili ndo zimeliharibu jina. Vyovyote vile ni poa lakini.
Aaliyyah said: Walikataa kunamtu alitumia ivo Click to expand... Hapo ndo ugumu unapokuja sasa, hizo "y" mbili ndo zimeliharibu jina. Vyovyote vile ni poa lakini.
Aaliyyah JF-Expert Member Joined Mar 20, 2022 Posts 20,001 Reaction score 48,527 Mar 14, 2023 #316,909 Saint Anne said: Junia anaelekea kupata mdogo wake,wewe Auntie bado upo nyumbani kweli Click to expand... ππNyumbani kutam
Saint Anne said: Junia anaelekea kupata mdogo wake,wewe Auntie bado upo nyumbani kweli Click to expand... ππNyumbani kutam
Aaliyyah JF-Expert Member Joined Mar 20, 2022 Posts 20,001 Reaction score 48,527 Mar 14, 2023 #316,910 Mac Alpho said: Hapo ndo ugumu unapokuja sasa, hizo "y" mbili ndo zimeliharibu jina. Vyovyote vile ni poa lakini. Click to expand... Nitajaribu kutoa y niongeze l
Mac Alpho said: Hapo ndo ugumu unapokuja sasa, hizo "y" mbili ndo zimeliharibu jina. Vyovyote vile ni poa lakini. Click to expand... Nitajaribu kutoa y niongeze l
Mac Alpho JF-Expert Member Joined Aug 5, 2019 Posts 13,999 Reaction score 27,975 Mar 14, 2023 #316,911 Saint Anne said: Sisi selfika tunajua anaitwa Sophy Hilo jingine siyo shida zetu. Nasema uongo wazee wa gengeni pressing View attachment 2551577 Click to expand... Daaah, sijui utasahau lini tu. Ushindi nilikupa ile mchana , jukwaa la Utd nililikimbia nikawaacha, ila bado umeniandama tu π.
Saint Anne said: Sisi selfika tunajua anaitwa Sophy Hilo jingine siyo shida zetu. Nasema uongo wazee wa gengeni pressing View attachment 2551577 Click to expand... Daaah, sijui utasahau lini tu. Ushindi nilikupa ile mchana , jukwaa la Utd nililikimbia nikawaacha, ila bado umeniandama tu π.
Aaliyyah JF-Expert Member Joined Mar 20, 2022 Posts 20,001 Reaction score 48,527 Mar 14, 2023 #316,912 Mac Alpho said: Daaah, sijui utasahau lini tu. Ushindi nilikupa ile mchana , jukwaa la Utd nililikimbia nikawaacha, ila bado umeniandama tu π. Click to expand... Mwantesa united ππ
Mac Alpho said: Daaah, sijui utasahau lini tu. Ushindi nilikupa ile mchana , jukwaa la Utd nililikimbia nikawaacha, ila bado umeniandama tu π. Click to expand... Mwantesa united ππ
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,823 Reaction score 233,255 Mar 14, 2023 #316,913 Mac Alpho said: Daaah, sijui utasahau lini tu. Ushindi nilikupa ile mchana , jukwaa la Utd nililikimbia nikawaacha, ila bado umeniandama tu . Click to expand... Sikuachi hadi umeweka hapa selfie yako Vinginevyo tunaendelea
Mac Alpho said: Daaah, sijui utasahau lini tu. Ushindi nilikupa ile mchana , jukwaa la Utd nililikimbia nikawaacha, ila bado umeniandama tu . Click to expand... Sikuachi hadi umeweka hapa selfie yako Vinginevyo tunaendelea
Aaliyyah JF-Expert Member Joined Mar 20, 2022 Posts 20,001 Reaction score 48,527 Mar 14, 2023 #316,914 Saint Anne said: Sisi selfika tunajua anaitwa Sophy Hilo jingine siyo shida zetu. Nasema uongo wazee wa gengeni pressing View attachment 2551577 Click to expand... Mama Junia nimebatizwa ubatizo wa maji mengi naitwa Aaliyahπππ
Saint Anne said: Sisi selfika tunajua anaitwa Sophy Hilo jingine siyo shida zetu. Nasema uongo wazee wa gengeni pressing View attachment 2551577 Click to expand... Mama Junia nimebatizwa ubatizo wa maji mengi naitwa Aaliyahπππ
Wigelekelo JF-Expert Member Joined Sep 2, 2018 Posts 8,765 Reaction score 26,901 Mar 14, 2023 #316,915 Saint Anne said: Hakuna na y moja wala Nini Sisi tunajua anaitwa Sophia Click to expand... Unajua wewe Na nani Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Saint Anne said: Hakuna na y moja wala Nini Sisi tunajua anaitwa Sophia Click to expand... Unajua wewe Na nani Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Kapachino JF-Expert Member Joined May 23, 2019 Posts 3,508 Reaction score 8,720 Mar 14, 2023 #316,916 Antonnia said: Usiku mwema wapendwa mrare unonoπ΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄ Click to expand... Njoo umuwage kapachino vizuri
Antonnia said: Usiku mwema wapendwa mrare unonoπ΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄ Click to expand... Njoo umuwage kapachino vizuri
Kapachino JF-Expert Member Joined May 23, 2019 Posts 3,508 Reaction score 8,720 Mar 14, 2023 #316,917 Aaliyyah said: yameisha ndugu tuendeee kufurahi hapa jf Alfu Nina bday ya kutimiza Miaka 32 naomba nikupe mualiko Click to expand... Hahaha yanaishaje ishaje Mtoto mlito. Hongera Sana itakuwa lini ili nijipange kukununulia cake kaka ako hapa
Aaliyyah said: yameisha ndugu tuendeee kufurahi hapa jf Alfu Nina bday ya kutimiza Miaka 32 naomba nikupe mualiko Click to expand... Hahaha yanaishaje ishaje Mtoto mlito. Hongera Sana itakuwa lini ili nijipange kukununulia cake kaka ako hapa
Mac Alpho JF-Expert Member Joined Aug 5, 2019 Posts 13,999 Reaction score 27,975 Mar 14, 2023 #316,918 Aaliyyah said: Mwantesa united ππ Click to expand... Daah, yani nakutetea ili Saint Anne asikusumbue na hilo jina, afu we unaungana nae kunipiga spana?π
Aaliyyah said: Mwantesa united ππ Click to expand... Daah, yani nakutetea ili Saint Anne asikusumbue na hilo jina, afu we unaungana nae kunipiga spana?π
Aaliyyah JF-Expert Member Joined Mar 20, 2022 Posts 20,001 Reaction score 48,527 Mar 14, 2023 #316,919 Mac Alpho said: Daah, yani nakutetea ili Saint Anne asikusumbue na hilo jina, afu we unaungana nae kunipiga spana?π Click to expand... Samahani mkuu nilikumbuka tu maramoja π
Mac Alpho said: Daah, yani nakutetea ili Saint Anne asikusumbue na hilo jina, afu we unaungana nae kunipiga spana?π Click to expand... Samahani mkuu nilikumbuka tu maramoja π
Mac Alpho JF-Expert Member Joined Aug 5, 2019 Posts 13,999 Reaction score 27,975 Mar 14, 2023 #316,920 Aaliyyah said: Samahani mkuu nilikumbuka tu maramoja π Click to expand... Nikianza kufokas , usije kulalamika hapaπ.
Aaliyyah said: Samahani mkuu nilikumbuka tu maramoja π Click to expand... Nikianza kufokas , usije kulalamika hapaπ.