Niliwahi jaribu mara moja siku ya graduu
Mguuni nikabandika
Kwanini isinitoe damu
kwenye harakati za kudance kanisani kwenye mkesha ,, watu wakataka wapite nayo.
Mkononi pia niliwahi paka,wakanitrim
Zinakuwa kali mno kwa kweli..
Halafu naona km napoteza hela,nipake halafu nikifua rangi inatoka.
Na nasikia sikia watu sikuhizi wanasema zile rangi za gel si nzuri kiafya.