Mwaka huu hata tusipochukua Ubingwa lakini timu ime improve sana.Gari limewaka!
Jesus nae is back dah wajipange.
The future is promising.Mwaka huu hata tusipochukua Ubingwa lakini timu ime improve sana.
Ukifanya ulinganifu utaona, Mwaka Jana baada ya michezo 25 tulikuwa na alama ngapi na sasa baada ya michezo 25 tuna alama ngapi.
The future is so bright π ahead
Kocha wetu hupenda kusema anacheza game kwa game hadi kumaliza game zote 38. Wachezaji na Benchi la Ufundi wakiendelea na hii Commitment huenda tukabeba Ndoo π mwaka huu.The future is promising.
Kwa position tuliopo Sasa.
Inabidi wachezaji na tecniko bench wapambane Sana
Tulikosa sura tutaziweka wapi?
Hawa mashabiki wa utd watabonga sana
Arsenal ilikuwa ya kina ROBERT PIRES.. enzi hizo na mie nilikuwa napi mpira kama DENNIS BERGKAMP π π π mashuti kama Rivaldo..Mwaka huu hata tusipochukua Ubingwa lakini timu ime improve sana.
Ukifanya ulinganifu utaona, Mwaka Jana baada ya michezo 25 tulikuwa na alama ngapi na sasa baada ya michezo 25 tuna alama ngapi.
The future is so bright π ahead
it has been long time yan 19years Dah Ni ( miaka ya sophy27 kabisa)Kocha wetu hupenda kusema anacheza game kwa game hadi kumaliza game zote 38. Wachezaji na Benchi la Ufundi wakiendelea na hii Commitment huenda tukabeba Ndoo π mwaka huu.
Wacha tuendelee kuwapa Morale tutafika tu
Sana yaani ili neno shoga wanaliona rahisi kulitaja tena wanaumeHawa wavulana wanasikitisha sana..
Ukakasi sana, ila ndio hivyo wame haribikiwaSana yaani ili neno shoga wanaliona rahisi kulitaja tena wanaume
Haha ndo hii saa legend Edu anaisuka!Arsenal ilikuwa ya kina ROBERT PIRES.. enzi hizo na mie nilikuwa napi mpira kama DENNIS BERGKAMP π π π mashuti kama Rivaldo..
Ian Wright, Patrick Vieira, Liam Brady, Charlie George, Pat Jennings, Freddie Ljungberg, Marc Overmars π π π π π enzi zao nilikuwa napiga soka banaaa kama Sergio Batista π€£π€£π€£Haha ndo hii saa legend Edu anaisuka!
Ulikuwa kitasa Kama Victor Costa nyumba!Ian Wright, Patrick Vieira, Liam Brady, Charlie George, Pat Jennings, Freddie Ljungberg, Marc Overmars π π π π π enzi zao nilikuwa napiga soka banaaa kama Sergio Batista π€£π€£π€£
π π π kama RomΓ‘rio de Souza FariaUlikuwa kitasa Kama Victor Costa nyumba!
Mwamba Sana Huyu! 1998 baada ya world cup! kwenye zile Big G zilizotokaga nilimbandika Sana kwenye madaftarπ π π kama RomΓ‘rio de Souza Faria
1994 na 1998 hadi 2002 kulikuwa na vipaji harisi sana aisee..Mwamba Sana Huyu! 1998 baada ya world cup! kwenye zile Big G zilizotokaga nilimbandika Sana kwenye madaftar
Hapa sophy27 tuna discuss mambo ya miaka ya 90 uko nyuma; kaa mbali kiasi.1994 na 1998 hadi 2002 kulikuwa na vipaji harisi sana aisee..
OkVery soon kitawasili
Nichako kweli?View attachment 2534787
[mention]National Anthem [/mention] kula kwa macho au nikulishie kwa Tigo pesa hii kitu