Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 9,869
- 32,710
Nani sasa mrembo wangu nitajie Mwachii ama Poor brain?Madam Bantu Lady... Niachie my wangu bhanaaππππ
Yaaan mpka kawa expert jua kapitia mengi...Anakuwa manyoya kuwa kishaliwa ama mdogo wangu?
Anasema mii team kataa ndoa....Nani sasa mrembo wangu nitajie Mwachii ama Poor brain?
Mambo mageni kwangu hayo mkuu.. mie sina mbavu za kuopoa pisi humu wala kutunukiwa.. acha nipambane na hali zangu tuuYaaan mpka kawa expert jua kapitia mengi...
Na mi sitaki kasheshe kwa kweli nataka utulivu
Expert mpe Phd National Anthem ana experience nao
Ooh kumbe waogopa hivyo. Ila kuna wanaoishia kunawa tu au kuyaona maji ya kunawa na hawajala kabisa. Wakogo na hasira tu, usiogope mdogo ake kabisa. Isikutishe hiyo Expert inaweza kuwa member na mieleka mingi tayari πππππYaaan mpka kawa expert jua kapitia mengi...
Na mi sitaki kasheshe kwa kweli nataka utulivu
Expert mpe Phd National Anthem ana experience nao
Uwongo huo.. wee mtu mkubwa hapa selfika ujueMambo mageni kwangu hayo mkuu.. mie sina mbavu za kuopoa pisi humu wala kutunukiwa.. acha nipambane na hali zangu tuu
Jichanganye
Kama unamjua.. mtajeOoh kumbe waogopa hivyo. Ila kuna wanaoishia kunawa tu au kuyaona maji ya kunawa na hawajala kabisa. Wakogo na hasira tu, usiogope mdogo ake kabisa. Isikutishe hiyo Expert inaweza kuwa member na mieleka mingi tayari πππππ
Wewe sababu bado mdogo pia, utaletewa 18 yaani chuchu konzi. Wazee ndiyo watapata vikongwe wenzao πππππAf niletewe kikongwe
πππ sina ukubwa wowote sina kazi ndio maana nashinda humu kujichekesha chekesha kikubwa masaa yaendeUwongo huo.. wee mtu mkubwa hapa selfika ujue
Ahahaha unaenda kula nini?Wewe sababu bado mdogo pia, utaletewa 18 yaani chuchu konzi. Wazee ndiyo watapata vikongwe wenzao πππππ
Nyie vijana acheni nikale nitarudi karibunu lunch ...
Wewe sababu bado mdogo pia, utaletewa 18 yaani chuchu konzi. Wazee ndiyo watapata vikongwe wenzao πππππ
Nyie vijana acheni nikale nitarudi karibunu lunch ...
Basi fanya tuondoe hizi missing jiraniSijakutenga jirani yangu, nitaanzia wapi?
Ahahahahahahahah dada dada dada dada dada nakuonaWewe sababu bado mdogo pia, utaletewa 18 yaani chuchu konzi. Wazee ndiyo watapata vikongwe wenzao πππππ
Nyie vijana acheni nikale nitarudi karibunu lunch ...
Naijua ioπππWeeeeh nani amekuambiaπππππ umeiona wapi hiyo.
Eng.... Ok ngoja niishie hapaπππ sina ukubwa wowote sina kazi ndio maana nashinda humu kujichekesha chekesha kikubwa masaa yaende
Dr Msukuma, Dr tale tale πππ Dr samiaEng.... Ok ngoja niishie hapa
Mi sina neno Eng..Dr Msukuma, Dr tale tale πππ Dr samia
Eng.... Lish auπEng.... Ok ngoja niishie hapa