Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwa kweli ningeumuka sana, ila nikiziidi hapa watanikimbia...upo vizuri sana Anne...hiyo unaweza kufanya mradi ukaingiza pesa kabisa.

Mimi mwenyewe napenda cake

Ila huwa natamani kula nikiona sehemu,.
Nikipika Mimi hamu yote ya kula inaniisha.


Ungekuwa kama mtungi wa gesi Mihan
,ule mdogo



Nipo najifunza,kwahiyo napika za kutosha hadi walishachoka kula hapa nyumbani.
Ungekuwa huogopi watu ningekuwa nakuletea hapo Mbezi kwenye ngazi hizo za stand ya daladala


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…