Selfika na JF: Snap it. Show it

Jinsia gan? Dogoo amebutuaaa sanaaaaa, yaan amepangusaa poteeee. Na palee juu kuna mwngne kagonga ya 12.

Km wa kiumee anaenda Mzumbe, km wa kike anaenda Tabora girls.

Utanambia selection zikitokaaa.
1 zipozipoooo kidogoooo Female 1 zipo 10 MALE 13 ! 2 three zaufauluu piaa zipooo! ziro zipo 5!!! Lile darasa lilikua kichomiii unajua kichomii!!
Sasa la mwaka huu ndio vichomi pro nakwambia matokeo ya mwakani sijui kwakweli!!
 
Halafu unaambiwa fimbo zisiwepo eti Antonnia
 
1 zipozipoooo kidogoooo Female 1 zipo 10 MALE 13 ! 2 three zaufauluu piaa zipooo! ziro zipo 5!!! Lile darasa lilikua kichomiii unajua kichomii!!
Sasa la mwaka huu ndio vichomi pro nakwambia matokeo ya mwakani sijui kwakweli!!
We ni mwalim?

Kuna mtu huko kaandika walimu msihangaike na watoto, either wafeli/ wafaulu
 
We ni mwalim?

Kuna mtu huko kaandika walimu msihangaike na watoto, either wafeli/ wafaulu
Eendiwoooooooo kipenziiiiiiiii! Mimi hata sihangaiki kuchapa mtoto wa mtu watoto wenyewe hawa afya mgogoroo!! Sitaki lawama za rejareja kabisaaa!!
Mi huwa nawapigisha magoti na kuwafinya masikioo na mashavuu ile njwiiiiiiiiii kidogo tu lakiniπŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…