Bro naomba puppy mmoja
Nataka tulete ka junior kengine mm na wewe unaonaje mchongo huokiduku mpapaso upoooo???
😂 Ndio kakudanganya ni babu muulize Wigelekelo akupe ukweli kuhusu Grahams ni kijana kabisa anamiliki duka lake la hardwareHuyo ni babuuu kabisa sio kijana kuwa na adabu Kijana 😁😁😁😁😂 !! Sijamuona Kitrambo humuu babu yetu hebu muite aje kutupa sayings za maisha wajukuu zake kwanzaaaa
Watoto watatu wananitosha nishafunga uzazi kabisa 😁!Nataka tulete ka junior kengine mm na wewe unaonaje mchongo huo
Hahahaaa.. Wigelekelo poka anahitaji data za babu yetu fanya kumpatiaa😂 Ndio kakudanganya ni babu muulize Wigelekelo akupe ukweli kuhusu Grahams ni kijana kabisa anamiliki duka lake la hardware
Wachache hao tuongeze kamojaWatoto watatu wananitosha nishafunga uzazi kabisa!
khakhakhaaaa!!Wachache hao tuongeze kamoja
Ee unaonajekhakhakhaaaa!!
Hekaheka zenuu humu mi siziwezii🙌!!Ee unaonaje
Huyu na mwenzie Wige lazima nije niwaoneshe cheti changu cha kuzaliwa ndiyo wataamini, wanadhani miaka 78 niliyonayo mchezo 🤗Huyo ni babuuu kabisa sio kijana kuwa na adabu Kijana 😁😁😁😁😂 !! Sijamuona Kitrambo humuu babu yetu hebu muite aje kutupa sayings za maisha wajukuu zake kwanzaaaa
U Babu gani anao?Huyo ni babuuu kabisa sio kijana kuwa na adabu Kijana!! Sijamuona Kitrambo humuu babu yetu hebu muite aje kutupa sayings za maisha wajukuu zake kwanzaaaa