Beverlyn
JF-Expert Member
- Aug 17, 2019
- 704
- 2,908
Weka mirija mbili basi 🤭
Weka mirija mbili basi 🤭
Nahili jua la leo 😋😋😋😋😋😋😋
Kwamba kishkwambi kwisha habari yake AntonniaHahaaa dogo alichoifanya Simu yangu sina hamuu nakwambia![]()




Uzi ule wa vituko lodge auUpo ila sio selfika kuna sehemu nakuona sana![]()

Tangu lini kijana
Pamoja na mguu au viatu tuNauza viatu kwanza
Karibu umnunulie wifiView attachment 2498395



Cappuccino
Unavyo vingi au Haina hiyo tuElf 20 mkuu
Mossimo OG
Kabisa wachawi wapo kila mahali ndugu mjumbe AntonniaNaogopa watanirekodi lol![]()
Sio huko tu naswampa sehemu nyingi nyingi eti!Uzi ule wa vituko lodge au![]()
Unamacho mkuu
Khakhakhaaaa..
KumbeSio huko tu naswampa sehemu nyingi nyingi eti!
Vipo vingi AlexUnavyo vingi au Haina hiyo tu
Eendiwoooooooo!!Kumbe
Kiatu tu boss 🤗
Ndio uwezo wa mwanaume huo AlexprosperUnamacho mkuu
Vipi kuhusu ngono mkuu haiwezi kuingia kwenye hilo kundi la dawa Mshana JrSIO DAWA ZOTE ZIPO KWENYE MADUKA YA MADAWA!🧏🧏
1 - Mazoezi ni dawa.
2 - Kufunga ni dawa.
3 - Chakula cha asili ni dawa.
4 - Kicheko ni dawa.
5 - Mboga na matunda ni dawa.
6 - Usingizi ni dawa.
7 - Mwanga wa jua ni dawa.
8 - Kuwapenda wengine ni dawa
9 - Kujipenda ni dawa.
10 - Shukrani ni dawa.
11 - Kuacha kosa ni dawa.
12 - Kutafakari ni dawa.
13 - Kusoma na kujifunza Neno la Mungu ni dawa.
14 - Kula vizuri, kwa wakati na bila ziada ni dawa.
15 - Fikra sahihi ni dawa.
16 - Kumtegemea Mungu ni dawa
17 - Marafiki wazuri ni dawa.
18 -. Kujisamehe na kusamehe wengine ni dawa.
19 - Kunywa maji mengi ni dawa.
20 Moyo wenye amani ni dawa
Kunywa dawa hizi za kutosha na ni mara chache sana utahitaji zile za maduka ya dawa.
Yaani hao watu wameboa sanaMbona chalii wamempiga ban 😂