Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Unavyo vingi au Haina hiyo tu
Vipo vingi Alex
Ila ni mossimo brand only
DA8C9F15-413C-4D36-ACEC-A563113546AD.jpeg
 
SIO DAWA ZOTE ZIPO KWENYE MADUKA YA MADAWA!🧏🧏

1 - Mazoezi ni dawa.
2 - Kufunga ni dawa.
3 - Chakula cha asili ni dawa.
4 - Kicheko ni dawa.
5 - Mboga na matunda ni dawa.
6 - Usingizi ni dawa.
7 - Mwanga wa jua ni dawa.
8 - Kuwapenda wengine ni dawa
9 - Kujipenda ni dawa.
10 - Shukrani ni dawa.
11 - Kuacha kosa ni dawa.
12 - Kutafakari ni dawa.
13 - Kusoma na kujifunza Neno la Mungu ni dawa.
14 - Kula vizuri, kwa wakati na bila ziada ni dawa.
15 - Fikra sahihi ni dawa.
16 - Kumtegemea Mungu ni dawa
17 - Marafiki wazuri ni dawa.
18 -. Kujisamehe na kusamehe wengine ni dawa.
19 - Kunywa maji mengi ni dawa.
20 Moyo wenye amani ni dawa
Kunywa dawa hizi za kutosha na ni mara chache sana utahitaji zile za maduka ya dawa.
Vipi kuhusu ngono mkuu haiwezi kuingia kwenye hilo kundi la dawa Mshana Jr
 
Back
Top Bottom