Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 9,871
- 32,692
Anabaki ningejua 🤔 ila ndiyo inakuwa, Too late.Moyo huwa unauma Sana kusikia Baba Jane bye bye.
Hapo unatamani walau siku zirudi Nyuma uweze kurekebisha makosa lakini ndiyo haiwezekani tena.
Tena unakuta sijui ulikuwa humu hudumii sawasawa huyo mrembo baada ya kuachana nawe ndiyo unakuta Shape ndiyo linatoka hasa mtoto amenawiri, ngozi laini kama amepakwa asali Kutoka Misri ya Kale 🤗
Mapenziii shikamooo, sirudii tenaaaa.Nipokeeee shostiiiiiii nipokeeee humu trenaa hapana hapana!! sitrakiii tenaaa!!
Hahaha.........namfundisha Wige asije kujaribu kumwacha Mjukuu wangu, nitamtunza apendeze alafu atamani kumrudia tena 🤗Akhsaaannteeeeeeeeeehhhhh Leo umechachukaaaa vibayaaaa umechafukwaaaaaa😂😂😂😂! Kwa sauti ya Wigelekelo 🤣🤣🤣🤣
Tulia basi mtu mzima mwenzangu!🤣Dogo kwa kipi? Mavuzi sijaanza kunyoa juzi, uwage na adabu wee.
Mxxxieeeew
Daaah una maneno balaaa🤣JF sio shida zangu, nimekumbukaa mbaba wa NSSF.
Zee zima ujana wake ale na wengine, uzee aumalizie kwanguu, akuuuuuh aniwaacheeeee.
Etiii oooh utafauduu pesa, wee mbna hizo pesaa hufauduu hadi unitafute mie.
Ukimwi wa utotoni nani anautakaaaaa??
Kuna vikosa vingine ni vya bahati mbaya ujueAnabaki ningejuaila ndiyo inakuwa, Too late.
But watu huwa hatujifunzi, hata ikutokee mara 3 bado utarudia na kubaki kujuta.
Mimi nimeshajifunza, kama mtu anavikosa vya kuweza kurekebishika, sitoki hapo.
Nisije kuwa majuto ni mjukuu...
KabisaHamna si unajua nini nilicho nacho dingi
Ndio maana yake
Of course kama Kuna nafasi ya kumbadirisha you go for him/her.Anabaki ningejua 🤔 ila ndiyo inakuwa, Too late.
But watu huwa hatujifunzi, hata ikutokee mara 3 bado utarudia na kubaki kujuta.
Mimi nimeshajifunza, kama mtu anavikosa vya kuweza kurekebishika, sitoki hapo.
Nisije kuwa majuto ni mjukuu...
Kumekucha
Weeehh ashendweeee babuuu! Kama aliniacha tulishaacha anataka Kurudi kwamba amesahau nini????? Haina Kurudi nyumaa hioooHahaha.........namfundisha Wige asije kujaribu kumwacha Mjukuu wangu, nitamtunza apendeze alafu atamani kumrudia tena 🤗
Haswaaag na ukae kwaTulia basi mtu mzima mwenzangu!
Akuuuuuh!! Wazee wasiotakaa kuzeeka sio shida zangu,Daaah una maneno balaaa
Hahahaaa...Nimechekaaaaa😂😂😂🤣🤣🤣🤣! Apambane naharee yakee no way!Anabaki ningejua 🤔 ila ndiyo inakuwa, Too late.
But watu huwa hatujifunzi, hata ikutokee mara 3 bado utarudia na kubaki kujuta.
Mimi nimeshajifunza, kama mtu anavikosa vya kuweza kurekebishika, sitoki hapo.
Nisije kuwa majuto ni mjukuu...
WachaaSinyoagi na rungu max sorry,
Ongezaaaa sautiiii shougaaaaaaa!!! Unarudi nyuma kwa kipiii?Weeehh ashendweeee babuuu! Kama aliniacha tulishaacha anataka Kurudi kwamba amesahau nini????? Haina Kurudi nyumaa hiooo
Unatusema wazee😅Akuuuuuh!! Wazee wasiotakaa kuzeeka sio shida zangu,
Amesema hatorudia makosa ya nyuma.Weeehh ashendweeee babuuu! Kama aliniacha tulishaacha anataka Kurudi kwamba amesahau nini????? Haina Kurudi nyumaa hiooo
Kote kunako ota mavuzi nanyoaaa!!