Huo mwili sidhani kama ni gym pekee. Likely anatumia pia anabolic steroids. Mojawapo ya sifa zake ni kunyong'onyesha korodani na dhakari na kufanya kichwa kiwe kikubwa. Ndo maana body lifters wengi na hawa wacheza mieleka hata wakivaa vikaptula vya kubana namna gani hutaona kitu. Na wengi wao ni team rainbow 🚮