Ahsante kwa taarifa Mkuu,
Ingawa ninaponunua bei bado ni ile ile (70gm=TZS 647.5 & 140gm= TZS 1,065), huenda bado wana stock ya zamani..
Kama huko zimepanda probability ya hata huku kupanda ni kubwa.. Ngoja ninunue some more boxes..
Hope Mkuu uko poa pia Mkuu..