Haha! Kuna kichwa kimoja nimewahi kiona pale Udsm akili yake alikuwa anaijua mwenyewe. Imagine pepa ishaanza baada ya dakika ishirini ye ndo anaangaika kutafuta Venue. Baada ya nusu saa unakuta huyo anasimama anakusanya kikaratasi yake. Last to Enter, First to Leave.
Ishawahigi nikuta siku moja Ile Necta form Four mtihani wa Kemia, sijafika hata nusu ya Booklet nasikia kuna jitu linaomba booklet nyingine. Nikajiuliza nafanya nini humu ndani ? Licha ya kutumia booklet yangu i'm sure niliwapita wengi tu na mibooklet yao miwili.
Aaah naona unanipiga moyoni sasa.. fungua PariMatch tuyajengeSema she is taken lil bro
We sitaki hata kuimagine mimi[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mimi na wewe tena,, nilitaka tu na leo ulale taa ikiwa on..
Tuache utani hivi siku ndiyo unaingia bafuni unakutana na shosti huyo utafanyaje??
Nilideal na quotes tu nikasepa zangu hata sikupita kuangalia kilichomo.Tena mbona ulikuwepo nikajua utaiona kumbe ulikuja kudeal na waliokuquote tu hadi ikakupita,, wale wale tu..
Location.. Somewhere deep in the bushes View attachment 1266087
Aaah naona unanipiga moyoni sasa.. fungua PariMatch tuyajenge
I will miss you, but anyway bora upunguze haya ma stress unayonipatia nowadays, princess.Always in ma mind my [emoji1780]
We sitaki hata kuimagine mimi[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Nitakufwa kwa pressure.
Basi hata wewe mkuuMmhh narudia tena kule kuko wazi ila tu tegemea majibu kama haya haya
Nilideal na quotes tu nikasepa zangu hata sikupita kuangalia kilichomo.
Basi hata wewe mkuu
Hello my dear!!I will miss you, but anyway bora upunguze haya ma stress unayonipatia nowadays, princess.
Unanitesa bana siku hizi princess wa mimi, kuja kwa PM bas unipe hiyo Id ya Twitter ni ku follow soon, or open yours.Hello my dear!!
Hebu njoo Twitter kwanza!!
Niko busy mbaya jamani dear, Usijali kabisaa tuko pamoja!! Nakumiss mimi
Fanya kutupia pic hapa basiUnanitesa bana siku hizi princess wa mimi, kuja kwa PM bas unipe hiyo Id ya Twitter ni ku follow soon, or open yours.
You traping me, ila kama utaniruhusu nikutumie private.Fanya kutupia pic hapa basi
Nimekumiss pia mkwe, mke ameibwa?
No huwa simfuatilii michango yake ila nikiangaliaga username yake tu najuaga ni mwanaume