Mmoja mmoja ndio mpango.Sijui uanze na yupi
Umalize na yupi
Kuna 'vitu' vingine vipo kimya
Ngoja viamue kujitokeza
Ni mwendo wa kuumia shingo arif
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Weee
Kwenye ng'ombe Kuna
Maini
T bone
Jembe
Steki na kadhalika
Niishie kula kadhalika niache hivyo vingine vitam tam
Nani alikuambia wewe
Wanaume wenyewe sisi ?!!
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Unaanzaje kurizika Kwa mfano
Ridhika na ulienae best wanawake wapo tyuuuu!
Haya selfika sasa !!
🙌🙌🙌🙌🙌🙌Hapo mi hapanaaa kwakweli bora nipambane nahali yangu tyu hukuuu😁😁😁!!Mmoja mmoja ndio mpango.
Taratibu
Mnachokitafuta mtakipata msiseme sijawaambia 😁😁😁😁😁😁!!Unaanzaje kurizika Kwa mfano
Ntakuita dear ikiwezekana ntakusevia kabisa 😁😁😁🤣🤣🤣! Au chagua hii kazi tumpe nani Wigelekelo Jack Palladino ERoni sumbai myoyambendi au nani?? Nahisi wao Ndio wataifanya kwa weredi zaidi au nasema uongo wapendwa??🤣🤣🤣🤣🤣Mtu akiweka mnitag wapendwa, huku nalipaka rangi Taifa 🙂🙂🙂
Nasubiri yakoWabheja sana lect hunaga uswahiliiii Kabisaaa Safiii sana✌️✌️✌️✌️!!
Hakika mchana wangu Utaenda kuwa bareeeeeeeedaaaa kabisa... nasubiria za wengine sasa
Asante kipenzi nawewe pia. Jamani hakuna mtu mbaya. Na nilikuja jifunza hili, ni vile unavyomwangalia na moyo wako utakavyomkubali. Kila mtu ana uzuri wa aina yake, inahitaji jicho sahihi kuona huo uzuri wake. Ila mimi 🙄🙄🙄🙄🙄🤣🤣🤣🤣🤣Ntakuita dear ikiwezekana ntakusevia kabisa 😁😁😁🤣🤣🤣!
Kazi njema kipenzi
Mi mbona Nishatupia lect hujaonaa???Nasubiri yako
Na haka katecno jirani....utaniogopa bure.Jirani nasubiria baraka zako do the needful pullliiizzzzzzzzzzzzzzz
Barikiwa sana dearAsante kipenzi nawewe pia. Jamani hakuna mtu mbaya. Na nilikuja jifunza hili, ni vile unavyomwangalia na moyo wako utakavyomkubali. Kila mtu ana uzuri wa aina yake, inahitaji jicho sahihi kuona huo uzuri wake. Ila mimi![]()



!!!Hivohivo jirani sema Saivi nimatingwa niangalie utaniblesss badae mkuuuNa haka katecno jirani....utaniogopa bure.
Madam unachuacha hivi hivi kweli?Muwe na wakati mwema and Enjoy your chat wapendwa![]()
Tuone na mpishi
Nasubiri end product!