Mashallahhhh....
Ebu fanya ukuje PM, maana kama hivyo basi saivi utakuwa ndio umeiva kamili....
maana sio kwa uumbaji huu wallah, na kama sijakosea Allah alikuumba siku ya saba akiwa amepumzika kwamaana hakuwa na haraka kabisa.....View attachment 1265767