Antonnia kasasambuliwa furniture zote ndani kakuta chumba empty! Ila ripoti za awali zinasema kumbe alikuwa anadaiwa marejesho na ukizingatia mwisho wa mwaka huu watu wanataka vunja vikoba wagawane chao!
Hiyo ni code na hapo si kashajua mjeda katoka sudan ana fungu la hela hivyo anasema kaibiwa ili anunuliwe furniture mupyaaa! Mjeda kapeleleza kagundua vitu viko ukobani, hivyo ameambiwa boss lady anadaiwa 3ml alikopa kwaajili ya biashara ya ubuyu, kashata na visheti kuwauzia wanafunzi. Ila wanafunzi wakamzidi ujanja akafilisika.