Umenikumbusha Kuna sehemu nimeishi wenyeji watanga ukitaka kupika anakaa jikoni weka hiki weka hiki nikamuangalia kumbe mwenzie mpishi hasa siku moja nikamzuia nikamwambia nikiingia jikoni usije mbona nilimyoosha hasa Kila anachosema tupike najua kupika kumzidi 😂
hakuna Cha Tanga Wala handeni maviungo tu ila vyakula havina ladha Wachache wanaojua kupika vizuri