Selfika na JF: Snap it. Show it

Tanga uwa kunasifika kwa Mapishi ila mbona nimefika nakula mavyakula mabaya hayana ladha too much spices yaani daah hapana aisee.

Jana Mlenda umewekwa kitunguu swaumu nikashindwa kabisa kidogo nitapike
Hatari labda wanajua kupika aina fulani ya vyakula kama chapati , ,bites ,vyakula vyenye kuhitaji nazi etc .
 
Chef wetu wa selfika
spices zinawasaidia sana watu .. la sivyo huli kitu .
 
ulimkomesha🤣😂😂
Yaani watu tumekariri wakati nimefika nilikua nina kiherehere maana napenda kula ila Dooh kwenye sehemu nilizotembea huu mkoa ndiyo umenidisappoint
 
Music
 

Attachments

  • Screenshot_20221221-194822_Spotify.jpg
    309.6 KB · Views: 8
  • Screenshot_20221221-192709_Spotify.jpg
    329.5 KB · Views: 8
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…