Selfika na JF: Snap it. Show it


Weuweh kumbe genius yupo vizuri hivyo ... Bila shaka na wewe soon utakuwa unatema ngeli .

Sijui sana ngeli .. Maaana napenda kuongea zaidi ya kuandika ...

Nimekuwa kma wattoto wa St.Marys tulikuwa tunawasema wanajua ngeli lakini kuandika hawawezi .
 

Hahaha adi chuo kikuu wapi lol
Shule za kawaida tu ...
Sema Chuo pamenijenga zaidi kuweza kuongea public japo nakuwa naogopa ... I'm almost there .
 
Hadi nikawa napenda timu yenu lol
My love for football ilianzia hapo

Hahaa siri yangu aisee
Jamaa namshukuru sana ...
Hebu ninong'oneze bana nikupe connection mapema sana tule ubwabwa uachane na upweke mtoto mzuri .

Uzuri Majogoo hatuna Mbambamba kama ulivyotuona.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…