Selfika na JF: Snap it. Show it

Sasa mm si ndio nitashindwa hata kukata kitunguu? πŸ˜€πŸ˜€

Wanawake wa Dar na vitu vyenu hivo


Nakuona ulivyotype huku picha yake imekujia taswirani πŸ’ƒ
Hata kujisugua vizuri mwilini utashindwa🀣🀣🀣
Zijaribu ila uweke size fupi ambayo haitakusumbua

Achaaaa didi akeπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ndio, ila kama unaparangana na boda boda na mwendokasi bora tu kutobandika miguuni

Kha kwenye daladala inakera mtu akukanyage dah , hapo mmebanana hakuna hata pa kushikilia.
Ukishuka kucha ishakatika
 
Urembo kazi aisee ,nikikaa kwenye dryer najiuliza hivi nimetumwa ...madryer mengine mabovu ukikaa tu unasikia moto mwanzo mwisho .
Ndiomana naogopa kuweka dawa mie ule motooπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…