Selfika na JF: Snap it. Show it

Zimesalia siku chache mwaka uishe.
Tuzidi sana kumwomba Mungu atuvushe salama,sisi pamoja na wapendwa wetu wote.


Shetani naye yupo kazini kuhakikisha anavuruga na kushambulia watu wasivuke.
Ila Mungu wetu ni mwaminifu sana.

Upatapo muda,waweke ndugu zako kwenye maombi mara nyingi kadiri uwezavyo.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Si Valentina ulale

Nina maongezi na mwenzako

Zamu yake, uta like hata kesho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…