Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,974
- 177,195
Umependeza sana!! Umenougaaa!!Hiyo nimephotoa now. Atayeniona jmn asinishitueee![]()
Umependeza sana!! Umenougaaa!!Hiyo nimephotoa now. Atayeniona jmn asinishitueee![]()
Nimeona dear mimeona!! Uko so hooooooootttttt 🔥🔥!!Teyari kipenzi. Angalia chap chap. Kabla sijafutaa
Thantee dearUmependeza sana!! Umenougaaa!!

ClassAntonnia Saint Anne Sina deni Tena Mimi. Samahanini sana niliwawekesha Ile siku. Mambo yalikuwa mengi.View attachment 2424762View attachment 2424774
ThanksClass
Asante mama juniaAuntie unajua kutupia pamba kali![]()
Thank youBeautiful lady
Asante dearNimependa hizo lips![]()
😂😂Nani huyoShavuuuu dodoo lipssssss lipss!!👌👌👌😍!! Akija lazima urudie!!!!
Umependeza madamee
Ukifuta coca akija!!!😂😂Nani huyo
Hapo kwenye mlenda sijui kama utaweza 😃Kitu ambacho nita shindwa kutumia fork & knife basi ni mlenda😀😀na wenyewe ninauhesabia siku tu ninaweza kupita nao usiamini 😆😆
Mimi nitatumia mkasi 😀😀na siku nikilifanikisha nitatuma video clip humu ndani Kwa ajili yako uone nitakavyopambana😝Hapo kwenye mlenda sijui kama utaweza 😃
Kuna rafiki yangu mmoja Mzungu nilimfundisha kula Ugali na Mlenda, Sasa Ile kwenye kuvutika si akaomba Kisu awe anakatia 😂🙌.
Na imagine utakavyokuwa unafanya wewe pia 😀
Ukuje huku....Na pacha wako Tinsley Naomba mnipe samare kwanzaa nasikia natakiwa kutetea mtu hapo!!
Samaleko wapendwa!!
Jr anamsumbua