Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kitu ambacho nita shindwa kutumia fork & knife basi ni mlenda😀😀na wenyewe ninauhesabia siku tu ninaweza kupita nao usiamini 😆😆
Hapo kwenye mlenda sijui kama utaweza 😃

Kuna rafiki yangu mmoja Mzungu nilimfundisha kula Ugali na Mlenda, Sasa Ile kwenye kuvutika si akaomba Kisu awe anakatia 😂🙌.

Na imagine utakavyokuwa unafanya wewe pia 😀
 
Hapo kwenye mlenda sijui kama utaweza 😃

Kuna rafiki yangu mmoja Mzungu nilimfundisha kula Ugali na Mlenda, Sasa Ile kwenye kuvutika si akaomba Kisu awe anakatia 😂🙌.

Na imagine utakavyokuwa unafanya wewe pia 😀
Mimi nitatumia mkasi 😀😀na siku nikilifanikisha nitatuma video clip humu ndani Kwa ajili yako uone nitakavyopambana😝
 
Karibuni 🥭
2AABB156-D912-4763-882A-3A0DAEB34824.jpeg
 
Back
Top Bottom