Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,977
- 177,196
Hahahaaa..ukiwa na moyo mwepesi huweziiii!!!Ndio dada , watu na watu hawa.
umakini muhimu .. utaita maji mma .
Yaani unaambiwa usipige simu , nipo na wife ... duh siwezi hayo mambo mie.
Hahahaaa..ukiwa na moyo mwepesi huweziiii!!!Ndio dada , watu na watu hawa.
umakini muhimu .. utaita maji mma .
Yaani unaambiwa usipige simu , nipo na wife ... duh siwezi hayo mambo mie.
Na utulie sio kidogo T hanaga masihara ohoooo!! 🤣🤣🤣!!Weeeeh weeeeh ebuu kwanza
Yeah kama mimiHahahaaa..ukiwa na moyo mwepesi huweziiii!!!
hapo kwenye kufokewa sasa! Alooooooohh!🙌🙌🙌Yeah kama mimi
Mara akufokeee kisa umemtafuta
ya nini , yote hayo .
Sio poa aisehapo kwenye kufokewa sasa! Alooooooohh!🙌🙌🙌
😂😂😂😂😁😁😁 !!! Uliwahi pata wahivo nini unaniua mbavuu hukuu ujuee 😁😁😁😁!! Kitu ambacho siwezi vumilia ni huo upuuzi!!Sio poa aise
Yani udharauliwe kisa pesa duh hapana
Siwezi fanya hivyo😂😂😂😂😁😁😁 !!! Uliwahi pata wahivo nini unaniua mbavuu hukuu ujuee 😁😁😁😁!!
Upuuzi haswa😂😂😂😂😁😁😁 !!! Uliwahi pata wahivo nini unaniua mbavuu hukuu ujuee 😁😁😁😁!! Kitu ambacho siwezi vumilia ni huo upuuzi!!
Na huko ndio kujisimamia sasa sio uendeshwe na mtu kisa tu pesa!!! Dharauuu hizo!!Siwezi fanya hivyo
labda nisijue aisee .
unitese kisa pesa au kitu kweli ?
maisha hayako hivyo .
Ukumbuke hapo unapangiwa ratiba 😂😂😂??? Masharti sasa hakuna kunipigiaaa text za rejareja hakun??? Ukimmisi utulize mshono aweeeeeeh;!!😁😁😁😂😂😂😂!!Upuuzi haswa
hakuna la maana unakuja kushtuka kumekucha upo late 30's
Yeah mtu unapaswa kuwa na misimamo yako kama individual .Na huko ndio kujisimamia sasa sio uendeshwe na mtu kisa tu pesa!!! Dharauuu hizo!!
Kabisa!! Maisha yakupelekeshe mtu nae akupelekeshe Alooooooohh!!!Yeah mtu unapaswa kuwa na misimamo yako kama individual .
mtu asikupelekeshe.
masharti tafikiri kwa mgangaUkumbuke hapo unapangiwa ratiba 😂😂😂??? Masharti sasa hakuna kunipigiaaa text za rejareja hakun??? Ukimmisi utulize mshono aweeeeeeh;!!😁😁😁😂😂😂😂!!
Unapambana na hamu zako🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!masharti tafikiri kwa mganga
Bora ujitulize uwe single kama mie 😂😂.
ukipatwa na hamu utajijua mwenyewe 😂😂
Hapana my dear ...Kabisa!! Maisha yakupelekeshe mtu nae akupelekeshe Alooooooohh!!!
Unapambana na hamu zako🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!
Ni changamoto sana!!Hapana my dear ...
mke mtu hajakujua ,aje kukuchamba Hadi ukome
📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌!Yeye akitaka ndo huyo ukimbie haraka kama kuku😂😂
hatariNi changamoto sana!!