Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,790
Team Saudi Arabia tujuane mapema 














Tanesco wametukatia leoTeam Saudi Arabia tujuane mapema![]()
Njoo geto uangalieTanesco wametukatia leo
nitaangalia wapi game leo

Nipe location pmNjoo geto uangalie![]()
Mechi itaanza saa saba mechi yetu inabid ianze mapemaNipe location pm
nije nicheki .


Mmmh mbona mapema hivyoMechi itaanza saa saba mechi yetu inabid ianze mapema![]()
Mm na ww tuna mechi yetu afu baadae Argentina na Saudi ArabiaMmmh mbona mapema hivyo


🥺🥺Mm na ww tuna mechi yetu afu baadae Argentina na Saudi Arabia![]()
mpira gani huo 🤣🤣Mechi ya mpira![]()
Khaaaaa sasa hapo kuitwa mrs kosa jamani..🤣🤣🤣🤣🤣 kusemaje kwa mfano wee sio mrs au...??🥱🥱🥱Im okay how about you ?
Mrs imetoka wapi tena 🤣🤣
Nipo cool napata vitamin D hapa...Im okay how about you ?
Mrs imetoka wapi tena 🤣🤣
mie bado Miss aisee 😂😂Khaaaaa sasa hapo kuitwa mrs kosa jamani..🤣🤣🤣🤣🤣 kusemaje kwa mfano wee sio mrs au...??🥱🥱🥱
Okay vizuri sana Mkuu .Nipo cool napata vitamin D hapa...
Yaaan hadi nimesahau daah...🤣🤣🤣🤣 Yaan umeamshwaaa weee ila wapiii,,,,Niko hapaaa! usiwaze kabisa shida imetatuliwaaa!!
Good morning!
Nipo hapaTeam Saudi Arabia tujuane mapema![]()
Nilijua tuNipo hapa
Utaki kamseleleko wewe...🤣🤣🤣🥱🥱🥱mie bado Miss aisee 😂😂
huyo Mr haexist 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🥱🥱 Nini nini,??? Ulijua nini ? 🤣🤣🤣Nilijua tu